Recent content by msukuma fekero

  1. msukuma fekero

    Kufananisha Subaru SJG na LC 300 series ni matusi!

    Hayo malc300 kwenye mbio ni gari ya kawaida tu ndiyo maana zinapitwa hata na subaru wewe hujiulizi kwanini hao watu wa masubaru huwezi kuta wakishindani mbio na marange rover
  2. msukuma fekero

    Toyota Land cruiser LC 300 recall

    Sasa itakuaje kwa wale wa used na unakuta tayari lipo bongo?🙄
  3. msukuma fekero

    Kosa la Totenham ni kuchagua makocha, Igor Tudor hatowasaidia chochote

    Mkuu huwa hubahati naukumbuka uzi wa Arteta kila mwaka mwanzo wa msimu wanakutukana ligi ikaribia kuisha wanapoteana
  4. msukuma fekero

    Range Rover ikizeeka inakonda

    Yaani mtu amiliki RR awaze mambo ya reliability kweli hizo ni pigo za wazee wa Toyoda
  5. msukuma fekero

    Waziri wa zamani, Geoffrey Mwambe aiburuza Serikali Mahakamani - "Wanirudishie passport yangu"

    Kwa mahakama hizi za masaju asahau kuipata hiyo pasi yake
  6. msukuma fekero

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ila Newcastle dah matako yao yaani zero zero dk 90
  7. msukuma fekero

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Waitaliano ni mbwa hasa Napoli,Ac milan ,juve na fiorentina wanatuuza sana
  8. msukuma fekero

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naonaa anashirikiana na kanji kitufilisi hizi siku za karibuni mimi simbetii tena nishamlamba blacklist
  9. msukuma fekero

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Na cash out ndiyo lengo kwa matreni ndiyo maana unaweka hela kiduchu
  10. msukuma fekero

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Haifai yaani hawatabiriki hawa kenge
  11. msukuma fekero

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Usimsahau monaco waogope sana direct win kama ukoma
  12. msukuma fekero

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Acha uoga weka hata over inatoa
  13. msukuma fekero

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii itakuwa poa sana maana hawa wajinga kazi yao kutuharibia utulivu kila mara
  14. msukuma fekero

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Matreni ya kons mbona yamepotea sana?
Back
Top Bottom