Tulia wewe mchumba! Masheikh wamekaa jela miaka nane mlikua mkicheka tu, Mbowe hata wiki hajamaliza mshaanza kuwashwa, Halafu haya mambo Ukaskazini yameingaje hapo. (Achana na propaganda eti "upeo" yaani unaamini kwamba wachaga wana upeo zaidi ya Watanzania wengine?).
TWO PROFFESIONALS: DEGREE YA COMPUTER SCIENCE, DIPLOMA YA EDUCATION.
Niliajiriwa kama mwalimu wa Diploma sasa hivi nipo halmashauri kama mtaalamu wa IT nakula mema ya nchi.
Mzee ajira sasa hivi ni survival for the fittest jiongeze lazima uwe wa tofauti na uwe na vitu vya ziada na uwe na akili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.