Inawezekana watu wakaandikishwa hata
mil 25 lkn je watapiga kura siku ya uchaguzi?
Kuna mazingira yanaandaliwa yanakayopunguza hio idadi kwa kiasi kikubwa kadir iwezekananvyo.
Moja ya mkakati ni ule wa kuwapeleka likizo wanafunz wote wa vyuo vikuu hivyo watakua likizo japo wamejiandiksha...
Hakika ngoja na mm nijipange nipige ya kunitosha najua mahakaman hawanishindi; ufisadi unalipa ila rushwa utafia jela. Hakuna kisichoezekana hapa kwenye shamba la bibi
nenda nae taratibu; cha'gamoto zilikua ni ardhi iloporwa pamoja na majengo lkn pia hali mbaya ya majengo yaliyokua yamechukuliwa na serikali
Kwa bahat mbaya bakwata hawakua sehem ya changamoto hizo kwa kua hawakua na shule wala hpspital au ardhi walokua wanaidai; So naturally wakawa hawana la...
Uko sawa sawa mkuu; kwa kweli nakereka na aina hii ya viongoz; Nakumbuka nikifanya shughuli fulan huko jimbon kwake ilikua inanipasa kusafir na maji toka arusha mpaka lt 500 kwenye gar kuwapatia wale tutakaowatembelea kwa kias kichozid lt 5 kwa kaya.
Cha ajabu wakina mama wakitoka na punda...
Bila shaka wangetoa na mafuta ya kuziendesha mana ztakua juu ya mawe not only coz are not working bt no budget to run them including fuel.
It can be a spare part deal as well;
Kiukweli inatia shaka sana kama nchi itaongozwa na mtu kama lowasa. Hatoeza kumudu changamoto za ulimwengu huu ambazo nyingi ziko ktk mfu
mo wa majadiliano kwa kua hawez kujenga hoja kabisa
Lakin la pili ambalo hata anaeondoka ana tatizo hilo ni upstairs memory; Leo pamoja na kwamba it was...
Kutajiwa jina moja moja hakutakusaidia chochote haya mawazo ya kila kinachofanyika ni msaada yanafubaza akili za wengi kama ww; siku za karibun wazungu hawatoi misaada ya makanisa kama zaman kwan kuna muda watu wanapaswa kujitegemea baada ya kubebwa kwa muda wa kutosho. Kuamin kua vyuo...
Naona hazikutoshi ww; kaazime nyngne kwa jiran yako; Kwa hiyo kura ya NDIO hata kama hujaipitia rasim ni sawa lkn YA HAPANA bila kuipitia rasimu si sawa; utakua umetumwa afu umesahau wslichokutuma
Dah kuna watu wanapenda sana kuwagawa watanzania na kuwaaminisha kwamba wachaga ndivyo walivyo; Mtu kama wewe akili yako ifananishwe na nn; bora zezete anaetembea na kinyesi kwenye nguo zake kuliko ww unaetembea na kinyesi kwenye ubongo; kinyesi cha ubaguz na matusi ndo uwezo wako;
Polen...
Hapa kuna tatizo mana taarifa ya awali alisema hili linawezekana kama walivokwisha fanya baadhi nchi ambazo hakuzitaja na kisha akaomba wamalize kwanza kuandikisha ndo ajibu maswali zaid; punde keshakana kauli yake mwenye?! madaraka is ad
dictive
Mm sikuelewi maana mwenyewe huezi tofautisha busara na akili nyingi; two different parameters;
Mbaya zaid hujui kuwa kila aliekuzidi ww akili kwa tafsir sahihi ni kwamba ana akili nyingi.
Heuz kushangaa kua hata mpenz wako ulienae anakuona una akili sana japo ulikua unashika mkia kila uchao...
mkuu mjini shule; kwa manufaa ya wanunuzi ni vyema ikabaki kua siri ya mnunuzi mpaka ww utakapoenda kununua ndo utajua kwa nn imeandikwa 1.2ml. Biashara ya pikipiki ni biashara huria ivo usitegemee fixed price.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.