Recent content by msouth23

  1. msouth23

    Naombeni kazi wakuu hali ni mbaya

    Sahihi kaka nichek humu 0674633302
  2. msouth23

    Naombeni kazi wakuu hali ni mbaya

    Naendesha mkuu bila shaka
  3. msouth23

    Naombeni kazi wakuu hali ni mbaya

    Leseni sina mkuu nisiwe muongo
  4. msouth23

    Natafuta kazi ya Houseboy

    iko wapi hii mkuu?
  5. msouth23

    Naombeni kazi wakuu hali ni mbaya

    Habari zenu wakuu, Hope ni wazima otherwise Allah awafanyie wepesi. Lengo la uzi huu ni kuomba kazi, kibarua au shughuli yoyote halali itayoniingizia kipato. Nina umri wa miaka 27, nina elimu ya Diploma ya Information Technology ila sijabahatika kupata hata kazi ya kujitolea (mimi ni kati ya...
  6. msouth23

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Position: Job seeker Profession: Information Technology Experience: 2yrs Education level: Diploma Location: Dar es salaam
  7. msouth23

    Natafuta king'amuzi cha Azam

    upo wapi?
  8. msouth23

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    ya bure hii imetoa tayari ila niliiogopa
  9. msouth23

    Unadhani watani watadondosha point kwa timu zipi?

    Fans wa Chelsea wakiongeaga km hivi kabla ya kucheza na United, waulize sasa hv uone watakujibu nini
  10. msouth23

    Dereva wa Dangote auawa na Polisi Lindi

    Hii story imeletwa kwa ufupi sana humu, ila ukweli ni kuna askari watatu wamejeruhiwa mmoja kavunja bega, inaonesha kulikuwa na mapambano alafu pia dereva mwenyewe wa ili gari ndo akieendesha kwa muda huo kwaiyo inaonesha hata uyo dereva labda alitekwa au vipi, na kiukweli kabisa walio karibu na...
Back
Top Bottom