Natafuta Nyumba ya kupanga,iwe na Vyumba 3 ,.Maeneo iwe Njia ya Goba kutoka Mbezi mpaka Masana au kutoka Goba Senta mpaka .Mwisho wa Daraja Mwelekeo Makongo,Offer yangu 200,000/= kwa Mwezi
Karibu kwa Mwenye nayo
+255-683-011-022
Kaka Asante sana kwa Darasa..... Naomba kuuliza,Nikiweka Chumvi kwenye ndoo ya lt 20 usiku kisha nikaoga Maji hayo Asubuhi..... Au ni vema kuweka hapo hapo kisha unaoga......?? Na Inatakiwa nioge kwanza Maji na Sabuni kisha nikitakata nijimwagie Yale ya chumvi...?? Je wakati wa kunuia natakiwa...
Kaka Asante sana kwa Darasa..... Naomba kuuliza,Nikiweka Chumvi kwenye ndoo ya lt 20 usiku kisha nikaoga Maji hayo Asubuhi..... Au ni vema kuweka hapo hapo kisha unaoga......?? Na Inatakiwa nioge kwanza Maji na Sabuni kisha nikitakata nijimwagie Yale ya chumvi...?? Je wakati wa kunuia natakiwa...
Kaka Asante sana kwa Darasa..... Naomba kuuliza,Nikiweka Chumvi kwenye ndoo ya lt 20 usiku kisha nikaoga Maji hayo Asubuhi..... Au ni vema kuweka hapo hapo kisha unaoga......?? Na Inatakiwa nioge kwanza Maji na Sabuni kisha nikitakata nijimwagie Yale ya chumvi...?? Je wakati wa kunuia natakiwa...
Unaambiwa Ukimwi ni Pesa,sasa Kama ni pesa ni razima uenezwe kwa kila njia..... Lisemwalo lipo na Kama halipo laja, AKILI ya Kuambiwa changanya na yako......
Asanteni sana Ndugu zangu Tanesco na wote mliohusika Kutatua Tatizo langu, Mimi ni Mteja wenu wa DODOMA nilileta malalamiko kuhusu Mita ya kiwanda cha kukamua Mafuta ,Jumatatu wamekuja mafundi na wamefunga Mita mpya, hapa nafurahia huduma tu..... Asanteni sana pia nawatakia kazi njema
Naumia sana kuona linachukuliwa kama mzaha wakati limebeba Mapato yenu ajira kwa Watanzania na faida kwa Nchi kwa kulipa kodi kulingana na Ninachopata..... Week Mbili kweli....??
Ni kweli nakosa Huduma kwa Mita kuharibika week mbili kwa Shirika kubwa kiasi hiki.....?? Nateseka sana,majibu yenu ni KISIASA..... au kwa sababu Watanzania hatuna mmbadala Ndiyo maana mnalinga....
Mbali sana maana itakuwa tayari Week 3 ni Hatari sana kwa Ustawi wa Biashara pia Mapato ya Nchi.... Naomba Jitahidi kwa uwezo ulionao leo nipate umeme maana tayari mpaka Leo ni Week Mbili....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.