Recent content by msomi uchwara

  1. msomi uchwara

    JamiiForums Tanzania Israel yaendelea kuishambulia Iran. Yataka Vita ianze au iendelee. Yapiga maeneo nyeti ya Kijeshi

    Unajiuliza taifa kama Israel, shughuli za maendeleo na uzalishaji wa chakula anafanya muda gani, yeye kila siku unasikia mara anatwangana na lebanon, mara yemen, mara gaza, mara syria na sasa hivi irani. Kwamba ana nguvu kiasi hiko? Au yeye anapenda sana ugomvi?
  2. msomi uchwara

    JamiiForums Tanzania Israel yaendelea kuishambulia Iran. Yataka Vita ianze au iendelee. Yapiga maeneo nyeti ya Kijeshi

    Hawa watu wanapaswa kuachwa wapigane wenyewe hadi wachoke. USA angewaacha tu.
  3. msomi uchwara

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza: Horse power Haina maana ikiwa gari haina balance wala stamina

    Hivi mnaoendesha magari hadi kufika speed 180 au 200 mnapata raha gani kwa mfano?
  4. msomi uchwara

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimempenda jirani yangu, nifanyeje?

    Kariakoo mademu wengi pale wahuni..hiyo huitaji kumtongoza ili umle, usipomla wewe ataliwa na Mawinga wa kariakoo. Kuna mademu wa kutongoza na wengine kutengeneza tu mazingira unajilia vinono.
  5. msomi uchwara

    JamiiForums Tanzania Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

    Watu wanapenda sana mbio, sijui kwanini ila mimi speed yangu mwisho 110kph na ninainjoi
  6. msomi uchwara

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wengi wanavutia wakiwa wamevaa nguo ila wakivua mvuto hamna

    Hii ipo kwa wanawake wanene tu. Maana moderate na mwanamke mwembamba hata wakivua nguo bado huvutia. Mwanamke mnene anavutia akiwa kavaa nguo na usiku ukiwa umewasha taa ya mwanga hafifu tu.
  7. msomi uchwara

    JamiiForums Tanzania Afande awapa makavu wazazi: Maadili ya watoto wa Mlandizi yameporomoka sana chanzo nyie "mnacheza uchi mbele ya watoto"

    Mkuu, hiko ni kikao cha walimu, wazazi na polisi dawati la jinsia, hapo hakuna wanafunzi. Zipo familia nyingi watoto wa kike wanaingia kwenye uhuni kisa baba anaona aibu kuongea na binti yake au kutumia lugha fulani kwaio anakaa kimya. Kufichaficha mambo ni mwanzo wa watoto na wao kufanya mambo...
  8. msomi uchwara

    JamiiForums Tanzania Afande awapa makavu wazazi: Maadili ya watoto wa Mlandizi yameporomoka sana chanzo nyie "mnacheza uchi mbele ya watoto"

    Hapo anakaripia au anatoa elimu? Kesi za watoto kulawitiwa zinapelekwa polisi, kwanini ashindwe kuzungumzia wakati ameona kuna kesi nyingi zinapelekwa ofisini kwake? Au kukemea tabia mbaya nchi hii imekua ni kosa? Nadhani kosa kubwa zaidi ni kukaa kimya wakati unaona kuna matendo yasio ya...
  9. msomi uchwara

    JamiiForums Tanzania Gari “Namba D” zimeenda wapi?

    Mkuu, hata huku mkoani siku hizi kila gari ni namba E. Watu wa mikoani siku hizi waliacha kununua gari used Dar, wanaagiza Japan na wao.
  10. msomi uchwara

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa takwimu hizi usaliti, kama una roho ya kushindwa kustahimili maumivu ni bora kwako usioe

    Ukiwa nje au mbali na mwanamke utahisi wanatongozwa kila siku lkn ukiwanae karibu utagundua kwa mwez anaweza sumbuliwa na watu wawili tu tena wale wale wa muda mrefu. Wanawake HAWATONGOZWI SANA KAMA TUNAVYOHISI,
  11. msomi uchwara

    JamiiForums Tanzania Kuna tatizo gani TANESCO? Nchi nzima umeme umekatika

    Mbona umeme upo mkuu
  12. msomi uchwara

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Juni 6, 2022 Injinia Hersi Said aliahidi atajenga Uwanja wa Yanga ndani ya miaka minne ya Uongozi wake

    Mkuu, kujenga uwanja sio kama kujenga nyumba. Kwakua dalili za ujenzi zinaonekana basi muda na uwezekano wa kujenga upo mbona
  13. msomi uchwara

    JamiiForums Tanzania Mafuta, mafuta, mafuta; Wiki ijayo EWURA wanakuja na bei mpya

    Mwezi wa pili hapa ilikua nikiweka mafuta ya 30k yanazima taa ya mafuta kwenye harrier tako la nyani, lakini saa hizi hata mafuta ya 35k hayazimi taa.
  14. msomi uchwara

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba ijiongeze nje ya uwanja kwa gharama yoyote lasivyo Yanga anaenda kubeba kombe mara ya tano, aibu hii

    Kwa unavyoona mkuu, hata simba akisema aweke nguvu zote kimataifa anaweza kuchukua kombe??
  15. msomi uchwara

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tetesi za kuachwa loemba na siasa za Mo

    Naona toka ile press ya Magori ni kama JayRutty amejiweka mbali na Simba hivi.
Back
Top Bottom