Mkuu, swali lako umetoa options mbili tu, kati ya simba au yanga! Sasa mbona wewe umetoa jibu ambalo halipo kwenye options zako..umejibu yote yalifana🤣🤣
Watasema simba/yanga hawajaingia kwenye vyumba na tulipoenda kupima kweli tulikuta kuna hewa ya sumu...yanga akigundua kwenye chumba kuna uchawi kategewa na simba, atakachokifanya ni kumwaga dawa yenye harufu kali na sumu halafu haingii kwenye hiko chumba. Tff wakija kupima watakuta ni kweli...
Huyu jamaa yeye ni mfuasi mkubwa wa German cars, hawezi kutumika kama reference ya choices kwenye gari za kijapani. Mimi nina harrier tako la nyani mwaka wa pili huu ninajua faida za hii gari.
NB: kila mtu ana zile gari ambazo hazimfutii machoni kwake na hana sababu zinazomfanya aichukie hio...
WAtu wanawachukulia sana kwa upana wanawake ndio maana wanaona ni watu wasioridhika au kueleweka..ila kila mwanamke ana mwanaume wake mmoja ambae anamridhisha kwa kitu anachopenda
Mi nimeamua zangu kujifugia kuku wa kienyeji hapa nyumbani, siku ukihitaji unashika mmoja unachinja...kama una nyumba yako ni vema kufuga hata kuku kadhaa wa mboga.
Kuna mambo tunajitakia wenyewe..mfano.bandari yetu inahudumia sana Zambia, malawi na congo. Kuna shida gani serikali ikajenga barabara bora kabisa ya njia nne labda kuanzia dar hadi Kasumulu/Tunduma ili malori ya mizigo yatumie tu siku moja? Barabara mbovu ajari kila kukicha na mizigo haifiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.