Unajiuliza taifa kama Israel, shughuli za maendeleo na uzalishaji wa chakula anafanya muda gani, yeye kila siku unasikia mara anatwangana na lebanon, mara yemen, mara gaza, mara syria na sasa hivi irani. Kwamba ana nguvu kiasi hiko? Au yeye anapenda sana ugomvi?
Kariakoo mademu wengi pale wahuni..hiyo huitaji kumtongoza ili umle, usipomla wewe ataliwa na Mawinga wa kariakoo. Kuna mademu wa kutongoza na wengine kutengeneza tu mazingira unajilia vinono.
Hii ipo kwa wanawake wanene tu. Maana moderate na mwanamke mwembamba hata wakivua nguo bado huvutia. Mwanamke mnene anavutia akiwa kavaa nguo na usiku ukiwa umewasha taa ya mwanga hafifu tu.
Mkuu, hiko ni kikao cha walimu, wazazi na polisi dawati la jinsia, hapo hakuna wanafunzi. Zipo familia nyingi watoto wa kike wanaingia kwenye uhuni kisa baba anaona aibu kuongea na binti yake au kutumia lugha fulani kwaio anakaa kimya. Kufichaficha mambo ni mwanzo wa watoto na wao kufanya mambo...
Hapo anakaripia au anatoa elimu? Kesi za watoto kulawitiwa zinapelekwa polisi, kwanini ashindwe kuzungumzia wakati ameona kuna kesi nyingi zinapelekwa ofisini kwake? Au kukemea tabia mbaya nchi hii imekua ni kosa? Nadhani kosa kubwa zaidi ni kukaa kimya wakati unaona kuna matendo yasio ya...
Ukiwa nje au mbali na mwanamke utahisi wanatongozwa kila siku lkn ukiwanae karibu utagundua kwa mwez anaweza sumbuliwa na watu wawili tu tena wale wale wa muda mrefu. Wanawake HAWATONGOZWI SANA KAMA TUNAVYOHISI,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.