Hahaha nilishaona dalili ,ukiweka matumainj makubwa kinachotokea ndio hicho ,ila hata hivyo sio haba
Sent from my TECNO BD2p using JamiiForums mobile app
Naomba nikushauri jambo,azima pesa popote angalau uwe na laki Tano ,Kisha uende kazini pia maneno ya hapa mtandaoni ni mengi mara unaambiwa pesa ya kujikimu ni 1m hakuna kitu kama hicho na wengi wanaochangia hawajui hata kanuni ya subsistence allowance,zingatia ninachokushauri hiyo pesa utaipata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.