Recent content by msofechris

  1. M

    Hivi hawa ni Watanzania wanaojitambua kweli unagalagala kisa Rais kafanya ziara Mtwara!

    Wakati mwingine sio lazima sana kutumia lugha usiyoijua
  2. M

    Hivi wanaompokea Rais Samia kwenye ziara zake ni Wananchi au ni Chawa?

    Sina hakika kama wametengeneza mabango ,itakuwa wamepewa Kwa ajili ya mapokezi
  3. M

    Rais Samia kuwa makini Tandahimba wamejiandaa kukudanganya

    Ila na mimi napata mashaka Kuna kitu hakiko sawa ,Kwa nini bei iandikwe Kwa mabango baada ya kusikia ujio wa Mh Rais
  4. M

    Aliyeiona payroll ya August aweke hapa

    Hahaha nilishaona dalili ,ukiweka matumainj makubwa kinachotokea ndio hicho ,ila hata hivyo sio haba Sent from my TECNO BD2p using JamiiForums mobile app
  5. M

    Rais, kwa mara nyingine unatukosea Watumishi wa Umma nyongeza ya mshahara

    Kwani Kuna watumishi wa kada nyingine wameongezewa?au watumishi ni walim tu?
  6. M

    Msaada: TAMISEMI hutoa kiasi gani cha pesa za kujikimu kwa waajiriwa wapya?

    Naomba nikushauri jambo,azima pesa popote angalau uwe na laki Tano ,Kisha uende kazini pia maneno ya hapa mtandaoni ni mengi mara unaambiwa pesa ya kujikimu ni 1m hakuna kitu kama hicho na wengi wanaochangia hawajui hata kanuni ya subsistence allowance,zingatia ninachokushauri hiyo pesa utaipata...
  7. M

    Ajira za TAMISEMI

    Ila kumbukeni wa kiswahili,geography,history,civics bado tunao wakipungua tutawaambia
  8. M

    TAMISEMI nimeshatuma maombi tafadhali naombeni koneksheni sasa

    Kushindwa kuzingatia tangazo na kujifariji kuwa natuma hivyo hivyo mfumo ndio utachagua ni kupoteza muda
Back
Top Bottom