RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Kiukweli Tanzania kama nchi bado tuna safari ndefu sana hawa ni watu wa mkoa wa Mtwara wakighalaghala eti kwasababu Rais ameenda mkoani kwao.
Chawa wa mama basi wanafurahi wakiamini mama anapendwa kumbe ni movie tu inachezwa na watu wake
Tanzania kuna vituko vingi vya kusifu na kuabudu wanasiasa ambao hata hakuna wanachofanyia wananchi! Kweli Tanzania ukiwekeza kwa wananchi maisha yako muda wote unaishi vizuri.
Kipindi kama hiki gharama za maisha zilivyopanda umeme shida lakini chekini vituko vilivyopo hapo
Chawa wa mama basi wanafurahi wakiamini mama anapendwa kumbe ni movie tu inachezwa na watu wake
Tanzania kuna vituko vingi vya kusifu na kuabudu wanasiasa ambao hata hakuna wanachofanyia wananchi! Kweli Tanzania ukiwekeza kwa wananchi maisha yako muda wote unaishi vizuri.
Kipindi kama hiki gharama za maisha zilivyopanda umeme shida lakini chekini vituko vilivyopo hapo