Habari wana JF.
Nilikuwa nikifanya kazi ya udereva katika kampuni moja ya utalii,ila baada ya janga la corona,tuliaimamishwa kazi.
Sasa tangia tusimamishwe kazi ni miezi sita sasa,kila nikitafuta mishe sipati.
Sasa maisha ya nyumbani yananikosesha furaha,japo mke wangu anashughulika na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.