KIUKWELI naweza kusema Dr slaa aijenga zaidi CHADEMA kuliko matarajio ya waliomtuma. in fact hata yeye mwenyewe Dr slaa haamini kinacho endelea maana kama ni mafuriko ndio yanazidi mpaka SUMBAWANGA watu wanadeki barabara kwa maji safi na foma dazo ili Rais mtarajiwa kipenzi cha watanzania...
Acheni unafki nyie watanzania.kama kweli unaipenda nchi hii mimi ningeunga nanyi kama watu tunao wajua kwa ufisadi kama chenge,sitta,tibajuka,masaburi na wengine wengi wangeenguliwa kwenye siasa za chama chenu hapo mngepata uhalali wa kumnyoshea kidole LOWASSA.Watanzania wameamua hawaitaki ccm...
unajua maneno yako yanaonesha ulivyo kata tamaa kutokana na mtu mlie mtegemea angemaliza kazi kuiangamiza CHADEMA amepiga mpira nje kabisa na umekuwa wa kurusha kwahiyo mnafikiri bado kuna mtu mwingine mnaweza kumtumia!! mnaweza kumpata na akatumika lakini CHADEMA ITAZIDI KUIMARIKA ZAIDI NA...
Kweli miaka hii ni kama umemkanyaga mdudu yule ambaye husababisha kumbukumbu zipotee !! kwani slaa alitokea wapi?? kwa taarifa yako watanzania karibu wote wenye miaka hamsini na kuendelea karibu wote wamewahi kuwa wanachama wa ccm. chamsingi sasa hivi wako CHADEMA.Kwa maelezo yako kumbe hata...
Mtasema sana ukweli wa mambo ni kwamba watanzania wameamua wanataka mabadiliko na ndio maana wapo wanaosema hata kama Lowassa asitufanyie lolote wanacho taka ni kuionesha dunia kuwa NCHI HII SIYO MALI YA CCM!! vijana wengi wameshaamua kura zao ni kwa Lowassa na wabunge wa UKAWA TU
Mleta mada kutoka moyoni mwako una mashaka kuwa this time ccm wanaanguka na ndio maana unajitahidi kuleta mada zaidi ya tano kila siku ukiiombea mabaya CHADEMA lakini unaona kama moto ndio unazidi. alipoondoka LIPUMBA ulifurahi sana na kudiriki kusema ukawa kwishney!! mafuriko ya Jangwani yaka...
ulikuwa hujui mambo peke yako wenye akili tunaijua kweli na ndio maana tunasema HATURUDI NYUMA!! Dr kachelewa gari tayari limesha shika kasi. LOWASSA MABADILIKO , MABADILIKO LOWASSA.
Kifupi ni kwamba kuendelea kuitetea ccm ni kama kuhalalisha ujinga wao wa kuihujumu NCHI yetu.CCM wamefanya Nchi hii uongozi wake kuwa ni wa watu wenye pesa tu, masikini hata angekuwa na uwezo kiasi gani hawezi kuwa kiongozi siku hizi..Hivi kuna sababu yoyote ya msingi kuwauzia watanzania mafuta...
Kiukweli kituo cha television TBC kimevuka mipaka na sasa kinapendelea chama tawala wakati kinmaendeshwa kwa fedha za walipa kodi wa TANZANIA.Wanaudhi kupindukia.hawawezi kutumia kodi zetu halafu wafanye mambo watakavyo!! siku hizi habari zote za UKAWA na vyama vingine hawatangazi kabisa!! kWELI...
usipoteze muda wako kuamini maneno ya mchumia tumbo! yule ni masikini wa kipato ni lazima ajipendekeze kwa watawala. kimsingi hajui anacho kitaka. kama kweli anapigania katiba iliyo pendekezwa na Warioba kamwe hawezi kipenda ccm kwakuwa ccm wamesha amua aina ya KATIBA WAIPENDAYO. UKAWA wanataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.