Dr. Slaa siyo wa kupuuzwa

Dr. Slaa siyo wa kupuuzwa

duuh,una ujasiri wa kishetani

wenye ujasili wa ushetani ni akina ninyi ambao mnashawishika kwa vipande vya fedha kwa sababu tu mmekosa kugombea urais.

Watu walimsaliti yesu kwa vipande vya shilingi
 
Dr Slaa ni wa kupuuzwa kwa sababu zifuatazo
1.Amesukumwa na nia mbaya kutoa ile kauli
2.Kauli ina nia ya kuleta mgogoro wa kidini
3.Kauli ile ina nia ya kumchafua mtu na si mfano wa kampeni safi
4.Ametumiwa na watu na watu wenye nia mbaya
5.Kauli haina tathmini yenye kuleta haki na usawa
 
KIUKWELI naweza kusema Dr slaa aijenga zaidi CHADEMA kuliko matarajio ya waliomtuma. in fact hata yeye mwenyewe Dr slaa haamini kinacho endelea maana kama ni mafuriko ndio yanazidi mpaka SUMBAWANGA watu wanadeki barabara kwa maji safi na foma dazo ili Rais mtarajiwa kipenzi cha watanzania apite!! sasa subiri kura zitakavyo miminika kwa LOWASSA mpaka wanao hesabu watachoka kuzihesabu.
 
Umeumia sana, tena vya kutosha, umejenga CHADEMA kwa miaka karibu kumi na tatu, lakini uliuvalia nguo nyeupe urais ukadhani wa kwako peke yako.

Kwa sasa huna madhara tena kwenye chama. Wewe ni nyuki wa mashineni tu hauna madhara tena, huumi.

Nakushauri endelea kula pension ya wakoloni weusi wenzio.. Tuache malofa na wapumbavu tuikomboe nchi yetu.

Afadhali yule YUDA mwenzako(le prof.) alikuwa walau anatumia ubongo wa kati kufikiri hakuonyesha dhahiri "sizitaki mbichi hizi" kama wewe.

Nimeshindwa kuandika kwa uchambuzi kama kawaida yangu nimelazimika nami niandike ki-sani, kiu au ijumaa Wikienda kama wewe ulivyo akili zako. Nikiandika kwa lugha ya uandishi wa uchambuzi na kiswahili fasaha hutoelewa wewe kichwa maji uliyeanza mapenzi uzeeni.
 
Waandishi wa Tz waliwahi kutukanwa na waandishi wa habari wa Kenya japokuwa waliona kama wameonewa vile, Rais mkapa aliwatukana kwa kuwa majuha pia na wakakasirika sana, lakini ni ukweli amabo unaishi daima, waandishi wa habari wa Tz ni mizigo, wanajua kuandika tu na kupiiga picha, zaidi ya hapo hawana kitu. Ni mabomu na sumu inayoua kuliko ile ya panya. Wanaandika kwenye magazeti eti badala ya kujadiri facts alizoongea mtu wao wako busy wanataka kujua nani kalipia ukumbi, huu ni uandishi mbovu kuliko wakati ule wa Sparta na athens ya akina plato, enzi za ujima. Kwani inajalisha nini mtu akiongea amekaa juu ya mti, ama akiongea anakunywa chain? ama akiongea anakula Karanga? mimi ambaye sikuwepo wakati wa tukio sihitaji kujua aliyekuwa anaongea alivaa nguo gani, alikuja na usafiri gani, ama alitokea kula chakula gani kwasababu watu siku zote tunajadiri facts, tunajadiri mambo yaliyozungumzwa kwa kuyachambua, lakini leo tunaandikiwa eti gharama za mkutano, mara nani kalipia ukumbi, hizi ndo facts?

Maadili ya kaz yalizingatiwa...Poor U
 
Lowassa si dhahabu il a Watanzania has vijana mmekuwa mazezeta hamfikiri tens. Nilikuwa mpenzi Wa ukawa but not now ufisadi juu
Chadema walikuwa na SLOGANI 'SISI TUNA MUNGU HATUNA FEDHA. Leo ni sawa????

Yaan nilikuwa nina picha kubwa sana kuhusu wanajamvi....kwa kusoma huku nimegundua wengi ni pendera fuata upepo na hawajui kutofautosha HOJA na PROPAGANDA.....
 
Kama ni kweli niyasomayao humu kwamba Mzee Slaa hajaleta mtikisiko wowote kwa fisadi Lowasa na Genge lake, ni kwa nini sasa hamkai kimya na kumpotezea?

Ni kwa nini siku nzima JF yote imejaa habari kumhusu Mzee Slaa, kumkashifu na kumtukana?
Unawezaje kupoteza muda wako kumkashifu na kumtukana mtu ambaye hakuathiri kwa lolote? Ni kwanini Mbatia alienda kuongea na Wahandishi wa Habari? Ni kwa nini mnahangaika na kusema sijui mmeandika barua kwa Wazungu kumhusu Mzee Slaa na familia yake, sasa yote haya ni ya nini kama mnajua aliyoyasema hayajamuathiri fisadi Lowasa na Genge lake?


Huyo huyo Dr Slaa mnayemsifia leo ndiye yeye aliyesema mtoto wa Rais kakamatwa na madawa China na ndiyo maana Rais kaingia mikataba ya siri na Wachina. Kama kweli Slaa huwa anaongea ukweli? Je mbona hamsemi kuhusu kauli yake hiyo?
 
Naomba kuuliza HV ILE ILE HABARI YA MTOTO WA MKUU WA KAYA KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA CHINA,NA MKUU KWENDA KUMUONDOA ILITOLEWA NA NANI?

1.JE UKWELI WAKE AU SHAIDI WAKE ULIONEKANA?

2.NA KUUSU KUTAKA KUULIWA NA USALAMA WA TAIFA NANI ALISEMA,JE UKWELI ULIPATIKANA?

Mi naona huyu jamaa anaweza kuwa alituaminisha uongo mtupu ili tumuone wa maana,watu na naman hii ni wabaya sana!!
 
Kama DR. Slaa angeamua kukubali yaishe, walau akakaa kimpya basi heshima yake ndani ya CHADEMA na hata wana mabadilio kwa ujumla ingebakia.
 
Tulimpenda Dr Slaa lakini tumependa zaidi mabadiliko .Pole yake .Tunaendelea na mabadiliko hadi ccm iondoke
 
huyu ni mzushi, na amesahau uzushi woote aliozusha huko nyuma, uzushi usio na mashiko
 
Huyo huyo Dr Slaa mnayemsifia leo ndiye yeye aliyesema mtoto wa Rais kakamatwa na madawa China na ndiyo maana Rais kaingia mikataba ya siri na Wachina. Kama kweli Slaa huwa anaongea ukweli? Je mbona hamsemi kuhusu kauli yake hiyo?

mnafikiri hao wanatetea ujinga kama nyie
 
Yaan hata mimi nimeanza kuhisi tofauti,ila ngoja niendelee kutafakari
 
mtaleta propaganda nyingi ambazo hazina effects LOWASSA MABADILIKO , MABADILIKO LOWASSA
 
Lowassa kajibomoa mwenyewe kwa wizi wake...

Mm nashangaa watu sijuw wengne waga mnauelewa gani, mi nahis waga mnasikiliza na kuchukua maamuz bila kutafakali, likisemwa tu ushainiua mdomo, hivi hata ww hapo ukifikilia umeahidiwa mambo mangapi, umeyaona mangapi yaliyotekelezwa yenye tija kwako, na umeahidiwa tangu mpaka sasa., lakini bado huelew hata mwalim alihangaika sana inawezekana hata kama ulifaulu umefaulu kwa kuhonga hela yaan bora liende tu, na hayo ndo hatuyataki, sasa hiv tunataka utekelezaji sio polojo za 2000-2015 uko wapi ww? fikilia uliko toka mpaka sasa hiv na usijiangalie ww angalia na wengne amabao wako chini, kw kipato na mambo mengne na pia anagalia tuna raslimali nying sana lakin hazina uangaliz wa maana, watzania hatukupaswa kuwa na maisha haya du!!!! Jamani kila mtu anahakili zake kweli, au watu mnalogwa kila uchaguzi unapofika? Tunataka kiongizi mwenye maamuzi magum akisema kitekelezeke kwel kwel na hayo maamuz yanakuwa na tija kwa umma ee jaman!! 🙆🙆
 
Dr Slaa ni wa kupouuza tena wa kupuuza mno.

1. RICHMOND TUNAIJUA TANGU 2008
2. ANA USHAHIDI MAKWAPANI HAUFIKISHI KUNAKOHUSIKA
3. ANAPEWA HONGO TSH 500 MIL HATOI TAARIFA KUNAKO HUSIKA ANATUAMBIA SISI WANANCHI ILI TUFANYE NINI
4. ANAKUTANA NA DR MWAKYEMBE AMBAYE NI MPINZANI WAKATI WA UCHAGUZI MASAA MACHACHE KABLA YA PRESS CONFERENCE YAKE TENA KWA KIFICHO NA USIMAMIZI WA USALAMA WA TAIFA NA KUTUAMBIA ANAFANYA RESEARCH (RESEARCH HAZIFANYWI HIVYO, NINA MASHAKA HATA NA PHD YAKE SASA)
5. HATUAMBII NANI KALIPIA GHARAMA ZA PRESS CONFERENCE YAKE ANASEMA ALIENDA MAREKANI NK, HAKUULIZWA ALIENDAJE MAREKANI!
6. MODERATOR WA PRESS YAKE NI MAKADA WA CCM
7...
8...

THERE ARE MORE QUESTIONS THAN ANSWERS NDUGU ZANGU
 
Back
Top Bottom