Dr. Slaa hatanyamaza, hataishia hapo!

Dr. Slaa hatanyamaza, hataishia hapo!

Watanzania walio wengi wamemwelewa Slaa kuwa amekuwa mpinzani wa Ukawa.

Kama alitaka kusimamia utaifa alitakiwa kuchambua wagombea urais wote, lakini instead alionekana shari yake ilikuwa kwa Lowassa na Sumaye utadhani Magufuli hana madudu yake.

Angetaka tumuelewe kuwa anasimamia utaifa zaidi asingejikita kwenye ufisadi wa Richmond pekee angegusia angalau EPA au hata Escrow.

Angegusia mauchafu yote hayo na angetupa option kuwa tuchague nani kati ya hao wanaogombea. Natamani Ukawa wampuuze na asijibiwe chochote ili kama ataamua kuzunguka kama polepole aongee akichoka akute Ukawa iko Ikulu
 
mwache aendelee kuzogoa tu ma koku anamcharusha
 
Madhara hautayaona sasahivi. Ila baada ya trh 25 utajua kuwa kulikuwa na madhara.
Hizo si story tu za Dr maana hata taasisi mbalimbali za mashauri zimesikia hayo mambo. Na hii ni nchi haitolewi tolewi tu kwa kila mtu. Lazima kuna issue za maadili na ukubali wa vitengo kadhaa vilidhie. Vinginevyo hatutaongozeka.
Hoja zake zina msingi sana ukiwa kama mtz anaekaa na kutafakari mambo. Ukiyachukua juu juu ki ushabiki hautaona kitu. Ulichikisikia kitafakari kisha ongeza akili zako uone ukweli na uongo.

Mtasema sana ukweli wa mambo ni kwamba watanzania wameamua wanataka mabadiliko na ndio maana wapo wanaosema hata kama Lowassa asitufanyie lolote wanacho taka ni kuionesha dunia kuwa NCHI HII SIYO MALI YA CCM!! vijana wengi wameshaamua kura zao ni kwa Lowassa na wabunge wa UKAWA TU
 
Madhara hautayaona sasahivi. Ila baada ya trh 25 utajua kuwa kulikuwa na madhara.
Hizo si story tu za Dr maana hata taasisi mbalimbali za mashauri zimesikia hayo mambo. Na hii ni nchi haitolewi tolewi tu kwa kila mtu. Lazima kuna issue za maadili na ukubali wa vitengo kadhaa vilidhie. Vinginevyo hatutaongozeka.
Hoja zake zina msingi sana ukiwa kama mtz anaekaa na kutafakari mambo. Ukiyachukua juu juu ki ushabiki hautaona kitu. Ulichikisikia kitafakari kisha ongeza akili zako uone ukweli na uongo.

Je,hoja za escrow account sio muhimu?
 
Huyo Dr Slaa aachwe tu kama alivyo, Ukawa isijishughulishe nae huyo kesha kuwa adui tayari, na lengo kuu likiwa kututoa kwenye reli tusikubali hatuna tena muda wa kupoteza,madai mengi aliyoyatoa kwa sasa hayana mashiko kajikita kwenye Richmond utadhani hakuna maovu mengine makubwa yaliyofuata.
 
Hatuna habari naye..........ona sumbawanga walivyompuuza dr silaa!! hapa lowasa ni chaguoletuuuuuuuu!!!
 

Attachments

  • ukaw.jpg
    ukaw.jpg
    39 KB · Views: 179
wenyewe wanasema ni mahaba......ndo tatizo la kufuatilia siasa kipindi cha uchaguzi tuu!!
 
Kuondoa watu walioshikilia UTAMU wa nchi sio rahisi, ndo maana miba ni mingi kufikia destination! inahitajika uvumilivu....Tuonyeshe tuna akili timamu kwa kudelete gamba october 25,2015
 
Madhara hautayaona sasahivi. Ila baada ya trh 25 utajua kuwa kulikuwa na madhara.
Hizo si story tu za Dr maana hata taasisi mbalimbali za mashauri zimesikia hayo mambo. Na hii ni nchi haitolewi tolewi tu kwa kila mtu. Lazima kuna issue za maadili na ukubali wa vitengo kadhaa vilidhie. Vinginevyo hatutaongozeka.
Hoja zake zina msingi sana ukiwa kama mtz anaekaa na kutafakari mambo. Ukiyachukua juu juu ki ushabiki hautaona kitu. Ulichikisikia kitafakari kisha ongeza akili zako uone ukweli na uongo.

Nakukumbusha 2005 Kikwete aliulizwa na Pascal Mayala kwenye kipindi cha kipima joto katoa wapi kiasi kikubwa cha hela nyingi za kampaeni. Akasema waliompa anawadai katika biashara. TUKAMWINGIZA MFANYA BIASHARA NDANI YA IKULU HUSUSAN KWA WIZI WA KURA KUTUMIA VYOMBO VYA DOLA NA TUME YA UCHAGUZI.

Aliyemwingiza JK Ikulu ni Lowasa kwa ahadi ya kuachiana. Haya Slaa anayajua kuloko wewe.

Kwa hiyo usitishie nyau Slaa kajishushis heshima kiasi cha mtu wa kawaida kijijini kumshangaa. Team iliyokulike ni team hiyo hiyo inayopanga mikakati dhidi ya mabadiriko. Niwape pole tu maana walioamua kutaka mabadiriko hawarudi ny7uma tukutane 25 Oct.
 
Nimewaza kwa sauti kama Dr Slaa angekua ni Mwl Nyerere kwamaana mikono yake ingetumika kutukomboa toka kwa mkoloni angekuaje?

Yani hapo kataja list ya mafisadi tu lakini hiyo shida anayotupa duu!! tumekoma.

# Majigambo sio mazuri
 
DR. Slaa ni mtu makini sana na ana msimamo wa hali ya juu.
Ameamua kustaafu siasa baada ya kuona umoja wa vyama hivi vinne hauwezi kuwa suluhisho la mapambano yao.

Viongozi wa umoja wa vyama vinne wametumbulia macho kuiangusha CCM madarakani lakini hawajaangalia ni namna gani nzuri ya kuiangusha CCM.

Baada ya kuona wagombea wao hawana uwezo wa kuing'oa CCM wakatafuta mtu toka CCM waliyeamini kuwa anaweza kuitoa CCM madarakani.

Kosa lao kubwa ni kutoangalia huyo mtu ana sifa na uwezo gani wa kiuongozi, lakini pia walishindwa kuangalia kama maadui wanaweza kupata kidirisha cha kupitishia mashambulizi yao au la.

Wamegundua hili wakati wameshachelewa, wamemchukua mtu asiye na uwezo hata kidogo, mtu asiye muadilifu na mwenye dhaifu anayeruhusu kupokea mashambulizi toka hata ndani ya chama chake.

Hiyo ndiyo dhambi kubwa inayowahukumu viongozi wa umoja wa vyama vinne tukiachilia mbali suala la kupokea hongo ya Bil. 10 ili wayapokee makapi hayo toka CCM

Hatua iliyofikia sasa ni ya kumpigia kura DR. Magufuli ili tuwe na Rais asiye na mashaka wakati tunasubiri wapinzani wajipange vizuri kwa ushindani wa chaguzi zijazo
 
nilimsikia Tundu Lissu alipokuwa anaonge na mwandishi wa habari kwa njia ya simu. Binafsi nimeshaganzwa na namna ambavyo alijibu maswali ya mwanahabari yule. Anaposema kuwa Kamati Kuu ilishampitisha Dr slaa tangu mwezi January na kurudia tena mwezi April, hapa anatoa tena kuwa kuna ubabahishaji wa democracy ndani ya Chadema kwa kukiukwa kwa katiba ya Chadema maana utaratibu wa kumpata mgombea haukufuatwa maana ilipaswa kuwe na uwazi kila mwanachama kugombea kwa kuchukua fomu kisha vikao husika vya chama kupitisha kwa kupiga kura. Lakini pia anatupa maswali kama tangu mwezi January Slaa alipitishwa na Kamati Kuu, je ni kwan nn mwezi July waliitisha mwanachama anayetaka kugombea achukuwe form ya urais ili hali tayari walikuwa na mgombea tayari? Hapa wanakosa hoja ya Kusema Lowasa alionewa na mchakato wa kumpata rais ndani ya CCM maana nao walishafanya hayo mapema kama kweli mwenyekiti alifika kikao na majina take mfukoni. Pili anaposema kuwa mara baada ya kumpitisha lowasa Dr Slaa alitupiwa vitu njee na mkewe maaana tatizo ni ufirst lady. Sasa hapa anatupa maswali ya kujiuliza kama dokta slaa alifukuzwa na mkewe baada ya slaa kunyimwa urais na huku kuna Picha walisambaza wakionyesha wazee wa baraza la wazee Chadema wakiwa nyumbani kwa Dr slaa pamoja na mkwewe na kueleza umma kuwa dokta amekubali kurudi kuongeza nguvu ukawa na kusema kuwa alikuwa anapanga mikati ya ushindi na kipindi hiko alikuwa likizo, je wazee wale walienda nyumbani kwa Dr slaa kumwombea msamaha ili mkewe akubali kuendelea kuishi na Dr Slaa?


Kimsingi Lissu alipaswa kujibu hoja zilimtaja yeye.

Kwa mfano Dr slaa alisema kuwa kulikuwa na kikao cha watu wanne yaani Slaa, Mbowe, Lissu na Gwajima wakibishana kuhusu kama Lowasa ni mtaji au mzigo kwa Chadema. Sasa alipaswa ama akubali au akanushe uwepo wa kikao hicho. Na kama kilikuwepo na mazungumzo yalikokuwa ya kizungumzwa ni tofauti na aliyosema Slaa atuambie ni mazungumzo yapi ni sahii.

Mwisho nitoe rai kwa viongozi wa Chadema kukaa na kutafakari namna bora ya kumjibu Dr Slaa kwa hoja na sio majibu mepesi kwa hoja nzito. Pia baada ya uchaguzi mjitathini upya maana sasa kwa kipindi kilichobaki hakuna muda wa kujikosoa

By Kennedy Peter Chilala
Mtanzania mzalendo na mwanachama wa CCM
 
Huyu mwanaume kawashika pabaya sana Chadema na mafisadi waliokuwa ccm.

Chadema leo hii inataka kuwadanganya watanzania lakini kwa pigo hili takatifu hawataweza kabisa.
 
Madhara hautayaona sasahivi. Ila baada ya trh 25 utajua kuwa kulikuwa na madhara.
Hizo si story tu za Dr maana hata taasisi mbalimbali za mashauri zimesikia hayo mambo. Na hii ni nchi haitolewi tolewi tu kwa kila mtu. Lazima kuna issue za maadili na ukubali wa vitengo kadhaa vilidhie. Vinginevyo hatutaongozeka.
Hoja zake zina msingi sana ukiwa kama mtz anaekaa na kutafakari mambo. Ukiyachukua juu juu ki ushabiki hautaona kitu. Ulichikisikia kitafakari kisha ongeza akili zako uone ukweli na uongo.

Nchi ni ya wananchi
 
Atawahi kuwa Nyerere..... Yule ni shida tu kanisani, ndoa yake kwenye Siasa kote amesuasua.
 
Huyu mwanaume kawashika pabaya sana Chadema na mafisadi waliokuwa ccm.

Chadema leo hii inataka kuwadanganya watanzania lakini kwa pigo hili takatifu hawataweza kabisa.
Slaa na Mwakyembe walikuwa wanazungumza kuhusu jambo gani pale Serena Hotel tarehe 1/9/2015 kuanzia saa tatu hadi saa saba mchana? Walidhani hawataonekana?..teh teh teh
 
Back
Top Bottom