Recent content by Msinjila89

  1. Msinjila89

    Are people born Gay ?

    Yeaaaaah, kwa walio wengi ninile ya kuiga mitindo ya nje(globally influenced)
  2. Msinjila89

    CCM yamfukuza uanachama Bernard Membe, Kinana apewa karipio kali huku Makamba akitoka salama

    Mliopo na ujuzi, ni kitu gani Membe ambacho amekosea mpaka kufikia hatua hiyo? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Msinjila89

    TBC mmenunuliwa vifaa vipya lakini mnashindwa kuleta coverage yenye international standard

    Sina kumbukumbu kbsa ni lini nimeangalia ama kusikiliza TBC kila wakati ni mapambio tuu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Msinjila89

    Nimejitahidi lakini nimeshindwa kumsamehe mke wangu mtarajiwa kwa hili

    Mi naona kama kuna aina ya udanganyifu imefanyika, labda anataka muavhane tuu may be kapata sehemu nuingine the best one compared to previous one, ila bro ww ni shujaa yaani mwaka 1½ hujaomba kumpaua?? Wakati wenzako siku hiyo hiyo akisema poa nmekubali lazma tuweke kumbukizi ..... Hebu...
  5. Msinjila89

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Habarini Dr,nmekuwa nikisumbuliwa na maumivu makali ya tumbo chini ya ubavu upande wa kulia nmeenda hospitali kadhaa nimepigwa ultra sound lakn wanasema hamna kitu,huwa naishiwa kupewa dawa za maumivu tuu.Na kuna kipind kinapotea kabsa na muda mwingine kinanirudia yaani hadi ninapoingiza hewa...
  6. Msinjila89

    Maumivu ya tumbo upande wa kulia

    Hata mi before nilihis hivyo but walipopiga utra sound wakanambia hakuna tatizo kuanzia figo na hicho kidole tumbo na kwikwi ikinishika kinaniuma saana!
  7. Msinjila89

    Maumivu ya tumbo upande wa kulia

    Habarini wapendwa,nmekuwa nikisumbuliwa na maumivu makali ya tumbo chini ya ubavu upande wa kulia nmeenda hospitali kadhaa nimepigwa ultra sound lakn wanasema hamna kitu,huwa naishiwa kupewa dawa za maumivu tuu.Na kjna kipind kinapotea kabsana muda mwingine kinanirudia yaani hadi ninapoingiza...
  8. Msinjila89

    Daktari Mkuu wa kituo cha afya Josephine Otieno (AMO) ampigia magoti Mwenyekiti wa CCM kumuomba msamaha

    Walllah hivi tunakoelekea kubaya sana, ningekuwa mimi.siwez piga magoti kwa mwanasiasa ambaye ana cheo kwenye chama tuu nipo radhi kuwajibishwa!! Sio kumpigia magoti hao jamaa..... Iheshimu taaluma yenu
  9. Msinjila89

    Hizi ndio muvi zangu bora za muda wote tangu nizaliwe

    Kama huijui hata 3 idiots fanya hivi
  10. Msinjila89

    Niulize swali lolote kuhusu magonjwa ya zinaa

    Mwambie ajitoe kuwa mwanachama wa CHAPUTA
  11. Msinjila89

    Niulize swali lolote kuhusu magonjwa ya zinaa

    Mwambie apunguze kuwa Chapudu
  12. Msinjila89

    Girls born in 1990

    Hamfi ila mtakuwa mnangoja wastafu wa WWII waje wawaoe haa haa
  13. Msinjila89

    Rais Magufuli amtuma Waziri Mkuu kumuwakilisha mazishi ya vifo vya Morogoro, atangaza siku 3 za maombolezo

    Kazi nyingi zipi kwa wapiga kura wako??? Ajaribu kuvaa utu aisee
Back
Top Bottom