Are people born Gay ?

Are people born Gay ?

hilo jambo halijatolewa majibu kwenye hicho kitabu?
Ainisha jambo gani ? Ukiona halipo kwenye kitabu ujue kwamba kitabu kimekupa muongozo wa wapi pakupata hilo jambo. Ndiyo maana kitabu kikasema "Waulizeni wenye kufahamu mkiwa nyinyi hamfahamu". Hii ni katika adabu za kutafuta elimu na kutaka kuyajua mambo.

Ngoja nikupe mfano katika Qur'aan na Hadithi, hukuti wapi kumeandikwa ya kuwa Bangi ni haramu au Sigara ni haramu,ila kuna msingi wa ujumla upo katika Qur'aan na Hadithi, unao sema usijidhuru nafsi yako na mfano wa hayo.

Sasa unaposema usilo lijua ukibainishiwa tafakari uone wapi unakosea.
kwa maana hiyo dini yako kupitia kitabu chake haina maarifa yeyote kuhusiana na umeme mpaka iwatake watu wanaotaka kuujua waende kwa wajuzi walioweza kuujua umeme bila msaada wa hicho kitabu?
Hii sasa ndiyo maana ya kitabu cha kuongoza watu, kitabu ambacho hakina shaka ndani yake. Qur'aan si kitabu cha Sayansi wala mfano wake, bali ni kitabu cha kuwaongoza watu na kuwaonyesha njia. Ndiyo maana kikatuongoza sisi ya kuwa kama hatujui basi tuwaulize wanao jua, maana yake kinajua ya kuwa wapo wanao jua na wasio jua kama wewe.
hapana. hapo umenionesha kua sio kitabu kilicho gusa kila kitu na ndio maana mnaelekezwa kupata maarifa nje ya hicho kitabu
Huko ndiyo kugusa kila kitu, tena kinakupa muongozo.
kitabu kuitwa muongozo wa watu sio kigezo cha kuonesha hakina shaka, ni mapendekezo ya watu tu kuitwa "muongozo" na kamwe muongozo huo hauwezi kuvuka mipaka nje ya jamii hiyo ya watu waliokipendekeza. Ni kama ilivyo katiba ya nchi ya tanzania kuwa muongozo wa nchi hii kutokuwa na authority ya kisheria katika nchi ya kenya
Shida yako huwa unavamia mambo yaliyo kuzidi uwezo. Nilikwambia hapo awali ya kuwa unaposema ni mapendekezo ya watu, unatakiwa uthibitishw ya kuwa kweli ni mapendekezo. Usilete habari za vilingeni kijana. Onyesha tu vitu viwili hivi :

1. Umashaka katika hicho kitabu (ukiweza nitaomba hiii ID yangu ifungwe maisha)
2. Onyesha mapendekezo hayo kwa ushahidi.

Nikikuuliza ya kuwa upi ushahidk wa kuonyesha ya kuwa katiba ya nchi ni mapendekezo na makubaliano ya watu hili bila shaa utaweza kunipa ushahidi huo, sasa nataka unipe ushahidi unao onyesha ya kuwa Qur'aan kuitwa muongozo kwa watu, ni mapendekezo au ni zao la mapendekezo ya watu fulani.
 
weka hapa hayo maoni tuyaone
Safi kabisa naona tatizo lako la kutokuwa makini bado liko pale pale na naona limechachamaa sasa.

Suala la maoni ya wakubwa zangu umeanza kulileta wewe. Nikakujibu ya kuwa maoni ya wakubwa zangu ni Qur'aan na Hadithi, yaani wanatuhimiza kushikamana na viwili hivyo.

Soma katika Qur'aan kisa cha nabii Lutwi na watu wake. Sura ya 26 aya ya 166 na aya za kabla na aya za baada
 
na hakuna mahali nime declare biology ina majibu ya kila kitu

hii ndiyo strawman argument sasa
Hakuna hoja mfu hapo, zaidi ya kukuonyesha ya kuwa jibu nililo kupa ni jibu sahihi na nikakuonyesha ya kuwa swali lako halina majibu toka katika somo la Baioloji.

Sasa uwe unasoma maneno kisha uyaelewe kwanza ndiyo ujibu au bora kwako ni wewe uulize swali sehemu ambayo hujaelewa.
 
Kuna wale ambao homoni za kike zimezidi.
Mpaka anakuwa nusu mwanamke.
Lakini wengine ni tamaa zao na uenda ikawa ni pepo wabaya wamewakumba
 
Jana nimetongoza msagaji demu mkali huyo balaaa, Sema yeye kanikubali na kaniambia anapenda life style yangu. Ila nilipoomba game kaniambia yeye hafeel wanaume, ye anapenda wanawake wenzie, na mimi namjua kuwa huyu demu lesbee isipokuwa nimetest mavumba yangu. Ila kaniambia yeye ananikubali sana mm na kaniahidi kesho anakuja gheto na dem mkaliii ananiletea ila sio yeye,,,, yani Wana nzengo na chats zake ninazo hapa. Mtoto mkali balaa, mxhosa kamix na mkaroud
Uko sauzi au swazi bwashee?
 
Kuna wale ambao homoni za kike zimezidi.
Mpaka anakuwa nusu mwanamke.
Lakini wengine ni tamaa zao na uenda ikawa ni pepo wabaya wamewakumba
Kwa wale waliozidiwa hormone tuseme sasa wamezaliwa mashoga.



ila hili swali ni biological + psychological
wala sio la kuhusisha dini.
Biologically mtu kama amezaliwa na hormone za kike nyingi huyo amezaliwa shoga.
psychologically wote gays and non gays wanazaliwa bila gender...yaan wanazi acquire at a young age..mtoto wa mwaka mmoja hajui yeye ni mwanaume na anatakiwa am*** mwanamke
ila akikua akapata utambuzi ndo anajijua kuwa yeye yukoje.
So hata gay katika ule utambuzi sasa yeye anajitambua anapenda wanaume wengine...Yaani anajiona Mungu kakosea kumuumba kwenye mwili wa kiume ilhali yeye ni mwanamke.


Thought experiment:Assume kesho wewe uamke ujikute una jinsia tofauti na yako...mf.Mwanaume uamke ujikute weww ni mwanamke..je katika maisha yako mapya utaanza kupenda wanaume au utaendelea kupenda wanawake?Na kujulikana katika mtaa wewe ni msagaji?
 
kila mtu ana homoni zote mbili kike na kiume zinapishana kiwango kutokana na jinsia !ya kiume nyingi kwa wanaume na ya kike nyingi kwa wanawake!!!sasa tatzo huja pale ambapo homoni zikazidi za jinsia nyingine hapo ndipo hisia za kishoga huanza na mtu huanza mchezo mchafu!!
 
Ila wapo wale ndugu zetu wanaofanya umodo.
Utakuja Wana mbavu Nene lakini sio rizk.
kila mtu ana homoni zote mbili kike na kiume zinapishana kiwango kutokana na jinsia !ya kiume nyingi kwa wanaume na ya kike nyingi kwa wanawake!!!sasa tatzo huja pale ambapo homoni zikazidi za jinsia nyingine hapo ndipo hisia za kishoga huanza na mtu huanza mchezo mchafu!!
 
Yeaaaaah, kwa walio wengi ninile ya kuiga mitindo ya nje(globally influenced)
 
Ainisha jambo gani ?
lolote lile,
Ukiona halipo kwenye kitabu ujue kwamba kitabu
maana yake, ile dhana ya "kuran haijaacha kitu" ni uwongo
kimekupa muongozo wa wapi pakupata hilo jambo.
maana yake kitabu hicho kuna maelezo mengi yamepelea..

ni sawa na mtu aje shuleni kwangu napofundisha watoto wa nasari aseme nimfundishe masomo ya civil engineer halafu mi siyajui, kisha nimuelekeze aende chuo cha ardhi kwa nia ya kujifunza hayo masomo halafu huku nyuma nitambe kwa watu kua nayajua hayo masomo
Ndiyo maana kitabu kikasema "Waulizeni wenye kufahamu mkiwa nyinyi hamfahamu".
hiyo inamaana majibu ya hayo maswali huwezi kuyapata ndani ya hicho kitabu

labda nikuulize wewe, nikitengeneza kitabu kisha nikaweka huo usemi kua "Waulizeni wenye kufahamu mkiwa nyinyi hamfahamu". kitabu hicho kitakua hakijaacha kitu?
Hii ni katika adabu za kutafuta elimu na kutaka kuyajua mambo.

Ngoja nikupe mfano katika Qur'aan na Hadithi, hukuti wapi kumeandikwa ya kuwa Bangi ni haramu au Sigara ni haramu,ila kuna msingi wa ujumla upo katika Qur'aan na Hadithi, unao sema usijidhuru nafsi yako na mfano wa hayo.
ni kwasababu ni muongozo uliochaguliwa utumike katika kundi fulani miongoni mwa wana jamii, hivyo kusema hivyo vitu ulivyo vitaja ni dhambi in general utakua unakosea.

kuna dini ya rastafarian uvutaji wa ganja ni halali. lakini pamoja na hayo bado sijaona uhusiano wa hayo maelezo yako kuwa ndio kigezo cha kuran kuwa haijaacha kitu
Sasa unaposema usilo lijua ukibainishiwa tafakari uone wapi unakosea.

Hii sasa ndiyo maana ya kitabu cha kuongoza watu, kitabu ambacho hakina shaka ndani yake. Qur'aan si kitabu cha Sayansi wala mfano wake, bali ni kitabu cha kuwaongoza watu na kuwaonyesha njia. Ndiyo maana kikatuongoza sisi ya kuwa kama hatujui basi tuwaulize wanao jua, maana yake kinajua ya kuwa wapo wanao jua na wasio jua kama wewe.
kitabu kimeweka wazi kua chenyewe sio chanzo kamili cha mambo, nyinyi mnatoka kifua mbele kupotosha kua kila kitu kipo ndani ya kitabu

hapa nacho kiona watu ndio wanaongoza kitabu, na sio kitabu kua muongozo wa watu
Huko ndiyo kugusa kila kitu, tena kinakupa muongozo.

Shida yako huwa unavamia mambo yaliyo kuzidi uwezo. Nilikwambia hapo awali ya kuwa unaposema ni mapendekezo ya watu, unatakiwa uthibitishw ya kuwa kweli ni mapendekezo. Usilete habari za vilingeni kijana. Onyesha tu vitu viwili hivi :

1. Umashaka katika hicho kitabu (ukiweza nitaomba hiii ID yangu ifungwe maisha)
2. Onyesha mapendekezo hayo kwa ushahidi.
nimekuambia nipe verse ya ndani ya hicho kkitabu ikiongelea kampeni za magufuli na lissu na ikitabiri mshindi tena kwa asilimia
Nikikuuliza ya kuwa upi ushahidk wa kuonyesha ya kuwa katiba ya nchi ni mapendekezo na makubaliano ya watu hili bila shaa utaweza kunipa ushahidi huo, sasa nataka unipe ushahidi unao onyesha ya kuwa Qur'aan kuitwa muongozo kwa watu, ni mapendekezo au ni zao la mapendekezo ya watu fulani.
hilo ni irrelevant, kuna vitabu vingi sivijui nani aliyevitunga lakini hiyo haithibitishi kwamba vimejitunga au havina author

nadhani nishawahi kupa jina la vitabu ambavyo mpaka sasa haijulikani nani alivitunga je utaviweka kundi moja na kuran?
 
Safi kabisa naona tatizo lako la kutokuwa makini bado liko pale pale na naona limechachamaa sasa.

Suala la maoni ya wakubwa zangu umeanza kulileta wewe. Nikakujibu ya kuwa maoni ya wakubwa zangu ni Qur'aan na Hadithi, yaani wanatuhimiza kushikamana na viwili hivyo.

Soma katika Qur'aan kisa cha nabii Lutwi na watu wake. Sura ya 26 aya ya 166 na aya za kabla na aya za baada
Elewa swali, Nimekuambia weka hapa hayo maoni sijakuambia weka ukurasa au sura yalipowekwa hayo maoni
 
Hakuna hoja mfu hapo, zaidi ya kukuonyesha ya kuwa jibu nililo kupa ni jibu sahihi na nikakuonyesha ya kuwa swali lako halina majibu toka katika somo la Baioloji.

Sasa uwe unasoma maneno kisha uyaelewe kwanza ndiyo ujibu au bora kwako ni wewe uulize swali sehemu ambayo hujaelewa.
Unaweza nionesha wapi nimeandika hayo maneno kua "biolojia ina majibu yote"?
 
Unaweza nionesha wapi nimeandika hayo maneno kua "biolojia ina majibu yote"?
Sada unalizaje swali ambalo Baiolojia halina majibu ya swali hilo ? Huko ndiyo kuijalia Bailojia ya kuwa ina majibu ya maswali yote hali ya kuwa haina majibu ya mambo yote.
 
Elewa swali, Nimekuambia weka hapa hayo maoni sijakuambia weka ukurasa au sura yalipowekwa hayo maoni

Soma hapa kwa umakini kisha uone nini kiliwakuta wale walio kuwa wanafanya mapenzi ya jinsia moja.

Nanukuu :



26_166.gif

166. Na mnaacha alicho kuumbieni Mola wenu Mlezi katika wake zenu? Ama kweli nyinyi ni watu mnao ruka mipaka!


26_167.gif

167. Wakasema: Ewe Lut'i! Usipo acha, hapana shaka utakuwa miongoni mwa wanao tolewa mji!


26_168.gif

168. Akasema: Hakika mimi ni katika wanao kichukia hichi kitendo chenu.


26_169.gif

169. Mola wangu Mlezi! Niokoe mimi na ahali zangu na haya wayatendayo.


26_170.gif

170. Basi tukamwokoa yeye na ahali zake wote,


26_171.gif

171. Isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma.


26_172.gif

172. Kisha tukawaangamiza wale wengine.


26_173.gif

173. Na tukawanyeshea mvua, basi ni ovu mno mvua ya waliyo onywa.


26_174.gif

174. Hakika katika hayo ipo Ishara. Na hawakuwa wengi wao wenye kuamini. (ashu'raa : 166 - 174)

Maoni yao ni hayo.
 
Wewe kenge utakua choko tangaza biashara

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Naona unaficha tabia yako mzee. Hapa tunaandika elu unaleta ukameme ? Siyo kila mada uchangie usiwe kama mwanamke mwenye hedhi au mimba changa.

Tuliza akili ujenge hoja.
 
Sada unalizaje swali ambalo Baiolojia halina majibu ya swali hilo ? Huko ndiyo kuijalia Bailojia ya kuwa ina majibu ya maswali yote hali ya kuwa haina majibu ya mambo yote.
hujajibu swali

Unaweza nionesha wapi katika post yangu nimeandika hayo maneno kua "biolojia ina majibu yote"?
 
hujajibu swali

Unaweza nionesha wapi katika post yangu nimeandika hayo maneno kua "biolojia ina majibu yote"?
Sasa kama hivyo ndovyo, uliza swali ambalo majibu yake yanajibiwa ma Baiolojia.

Nasubiri swali hilo.
 
Soma hapa kwa umakini kisha uone nini kiliwakuta wale walio kuwa wanafanya mapenzi ya jinsia moja.

Nanukuu :



26_166.gif

166. Na mnaacha alicho kuumbieni Mola wenu Mlezi katika wake zenu? Ama kweli nyinyi ni watu mnao ruka mipaka!


26_167.gif

167. Wakasema: Ewe Lut'i! Usipo acha, hapana shaka utakuwa miongoni mwa wanao tolewa mji!


26_168.gif

168. Akasema: Hakika mimi ni katika wanao kichukia hichi kitendo chenu.


26_169.gif

169. Mola wangu Mlezi! Niokoe mimi na ahali zangu na haya wayatendayo.


26_170.gif

170. Basi tukamwokoa yeye na ahali zake wote,


26_171.gif

171. Isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma.


26_172.gif

172. Kisha tukawaangamiza wale wengine.


26_173.gif

173. Na tukawanyeshea mvua, basi ni ovu mno mvua ya waliyo onywa.


26_174.gif

174. Hakika katika hayo ipo Ishara. Na hawakuwa wengi wao wenye kuamini. (ashu'raa : 166 - 174)

Maoni yao ni hayo.
maoni haya ni irrelevant kwasababu hayajaeleza kuhusu watu kuzaliwa wakiwa mashoga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom