Recent content by msingipenenge

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nikitaka kuacha kumsaliti mke wangu linatokea jinamizi linanirudisha kwenye uzinzi

    Bado hauna nia thabiti ya kuacha nao,ukiwa na nia thabiti ni jambo jepesi mno
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo 25 ya msingi ya kuzingatia unapoenda kununua utelezi kwa kahaba

    Bado upo kwenye risk ya kupata magonjwa
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namtafuta Mke, awe na umri wa miaka 20-30

    Hakika
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namtafuta Mke, awe na umri wa miaka 20-30

    Hata huku naweza kupata bro, japo umakini unahitajika
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namtafuta Mke, awe na umri wa miaka 20-30

    Ni kweli umakini unahitajika
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namtafuta Mke, awe na umri wa miaka 20-30

    Ni mara nyingi ila sio mara zote,watu ambao tupo kwenye jamii ndo hao hao tupo mitandaoni
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namtafuta Mke, awe na umri wa miaka 20-30

    Habari Wana JF, Natafuta mke mwenye sifa zifuatazo: 1. Awe Muislam mwenye kuifata dini yake angalau awe ana swali na kuvaa nguo za stara 2. Umri 20-30 3. Asiwe mrefu kunizidi, mimi urefu wangu ni (167cm) 4. Kama ni mfanyakazi basi awe mwalimu, vinginevyo awe mama wa nyumbani Mimi sifa...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Various Posts at The Planning Commission (PC) May, 2024

    Wakuu kuna upadates zozote ya hili tangazo ni miezi minne sasa toka wametangaza
  9. M

    JamiiForums Tanzania Utabiri: Simba Vs A Ahly, Simba atafungwa goli chini ya 3 Yanga atapata sare

    Kaka tarehe 4 ni leo tupe utabiri wako
  10. M

    JamiiForums Tanzania FT: Simba SC 1-2 Tanzania Prisons | NBC Premier League | Jamhuri Stadium | 06.03.2024

    Sijui kwanini kocha anapenda Kuanzisha viungo watatu wenye asili ya ukabaji
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

    C
  12. M

    JamiiForums Tanzania Huu Utitiri wa Maofisa wa Serikali kwenda Hanang, Wanaenda Kufanya Uokoaji au Kuonekana?

    Wahanga wamehifadhiwa sehemu maalum na wanapata chakula,mimi nipo hapa eneo la tukio
  13. M

    JamiiForums Tanzania Asili ya majina ya maeneo mkoani Manyara

    Endasaboghechan Qedang'onyi Endamudayga
  14. M

    JamiiForums Tanzania Tutajie orodha ya kozi ambazo hazitoi ajira ili tupate kuzifahamu

    Nilisoma hii kozi miaka ya nyuma ,ki ukweli ni Changamoto sana. 1. Niliomba kazi ya ualimu serikalini kupitia TAMISEMI nikapangiwa kituo,baadae ikashindikana kuingia kwenye payroll kwa sababu professionally sio mwalimu. 2. Niliomba kazi moja ya taasisi za serikali kupitia sekretariat ya ajira...
Back
Top Bottom