Dogo umefanya vizuri sana, huitaji kuwa na degree ili maisha yawe mazuri. Lakini pia usijione umetoka kwa kuimba pekeake. Hakikisha unajituma kujifunza kila inavyowezekana, katika kila pato unalopata tenga 10% for personal developments. HAKIKISHA UNAJIFUNZA KWELI NA UNAFANYIA KAZI. Ukweli ni...
Hahahaha... Kwa kweli duniani kuna mambo. Sikieni, huyo kama mzungu vile; hawa jamaa mimi nawakubali pale unapokuta mtu hana muda na ''abnomality'' yake na pia hakuna anayemuangalia makalio yake. Zaidi unakuta jamaa anakiss nae hadharani. Lol... Lakini huyu lazima alikuwa dereva wa malori ya...
Mdau hapo umenena watu wengi-tena wengi sana-wanatangatanga kwasababu ya hizo imani zao wasizojua kuzitumia. Na, KWELI walichotaka ndo hiki tunachokiona NA WAMEFANIKISHA KWA KWELI. Watu wakiSOMA wakaanza kuiona Dunia katika pembe zaidi ya moja hakika HILI SIO SWALI LA KUJIULIZA WALA KUKUFANYA...
Heshima kwenu WADAU:
WADAU kimsingi tunajifunza kutokana na kusikia hasa pale tunapouliza.
Kuna hili jibu ambalo kila mfanyabiashara akiulizwa analitoa-Popote pale:-luninga,ktk biashara, hata akitoka kuamka,n.k- ''BIASHARA NGUMU/HAILIPI'' siku akijitahidi saana anasema ''Aah hivyohivyo tu...
Sikilizen WADAU hakuna kusema SWINE, PIGS AU HOGS ni wabaya sikiliza kipindi kila cha kuandikwa QURAN na BIBLIA nguruwe walikuwa wanaswagwa kama ng'ombe-umasaini. Sasa leo umemfungia ndani anapewa pumba na mabaki ya chakula cha nyumbani hayo mauchafu anayala wapi? AU NA MFUGAJI ANAENDA...
Naam, lakin huwezi kuung'oa na kwenda kuupanda pengine hasa kama umeshakomaa.
*Maana ya ''mchicha'' ni ''vema au vizuri''.
*''kundishwa'' nadhani ilitakiwa kuwa ''kurudishwa'' maana yake ''umeme upelekwe tena mtwara''.
*Maana ya ''mitambo ya umeme'' ni ''mashine za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.