Binafsi ninaona kuna mifumo mbalimbali ambazo tumejengewa haswa kwenye dini,serekali kwa maana ya mfumo wa elimu,jamii vilevile,ambazo zinamfanya kijana apoteze muda mwingi bila kutafakari maisha ya kujitegemea hivyo mpaka awe na umri wa miaka 25+ hapo aanze kujitafta anajikuta yupo 30 kuendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.