Singo maza wa dodoma anatafuta mwenza

Singo maza wa dodoma anatafuta mwenza

Qmmk nimeishia Kusoma apo ni Mmarangu!!!
20241119_173826.jpg
 
yule ambae yupo interested na tukaiona nia yake basi maswali yake yatajibiwa,lakini nyie mnaodhihaki hapo hamtajibiwa
 
Ni mmarangu,umri 36,ana mtoto wa kike anasoma darasa la 7,anafanya kazi wizara ya mambo ya ndani,dodoma na ni mkkkt.Anatafuta mwenza ambae watakubaliana kuishi pamoja na kupata watoto,na watashirikiana kila kitu kwenye maisha.kama kuna mwanaume atavutiwa na hizo sifa basi aje inbox.Mwanaume awe na kazi,au biashara,hana ubaguzi kuhusu dini,awe mkristo au mwislamu sawa tu.
usituchanganye
sema wewe ni MCHAGA
mmarangu ndio nan?
mbn mnakimbia asili yenu?
shida nin hasa?
 
usituchanganye
sema wewe ni MCHAGA
mmarangu ndio nan?
mbn mnakimbia asili yenu?
shida nin hasa?
Ukiandika mchagga utaulizwa wa wapi? ndio maana nikaandika mmarangu,kwani hakuna mtunasiyejua kuwa mmarangu ni mchagga,ungetuliza ubongo wako kwanza kabla hujajibu
 
wana shida sana. kuna mmoja anafanya salon ya kiume, niwe mkweli, sizini ila scrub na chunusi usoni na kichwani lazima nifanye baada ya kunyoa. nilishaenda hapo mara kadhaa kwa mwonekano wangu akawa ameshanitathmini. kwa sababu naenda mara nyingi akawa ameshanifahamu na kujisogeza. huwa simfukuzi mwanamke anayejisogeza as long as tuko peupe na wengine huwa wanaishia kumpa Yesu Maisha.

siku moja anafanya scrub akaongea kitu cha ajabu mno, yeye ni binti toka mbulu na ni mzuri kweli anasema ana mtoto mmoja. akaniomba kabisa ati "mimi nina mtoto mmoja ila nataka kuzaa mwingine wa mwisho" meaning hahitaji kuolewa. akasema kwa kuniangalia mimi anaomba chonde nizae naye mtoto/anizalie mtoto, akaanza kutoa promo kama kawaida, ati "si unaona sura yangu na sisi wambulu, katoto katatoka kazuri kama sisi hautajuta", dah, nikajiuliza kumbe kuna wanawake wamefikia hali hii ya kuwinda child support kwa udi na uvumba? manake hapo huyo aliyemzalisha awali atakuwa anatoa hela kila mwezi, akiongeza mwingine kila mwezi, yeye atabaki kudanga tu ila kuna nyumbu wawili hapo wanalazimishwa kisheria kusomesha,kulisha,nguo na kutunza watoto wake. na kwa bahati mbaya hakujua anafanay promo kwa mwathirika wa single maza ambaye zamani hizo huko misri kiulinifanya hadi leo niwe natoa child support kusomesha nk jambo linaloletaga chachu mbaya kwenye ndoa yangu sometimes.
 
Ni mmarangu,umri 36,ana mtoto wa kike anasoma darasa la 7,anafanya kazi wizara ya mambo ya ndani,dodoma na ni mkkkt.Anatafuta mwenza ambae watakubaliana kuishi pamoja na kupata watoto,na watashirikiana kila kitu kwenye maisha.kama kuna mwanaume atavutiwa na hizo sifa basi aje inbox.Mwanaume awe na kazi,au biashara,hana ubaguzi kuhusu dini,awe mkristo au mwislamu sawa tu.
Karibu inbox
 
Back
Top Bottom