DIT wamenifurahisha sana, hizi jumbe nimezizoea kwenye maombi ya kazi, nikipokea email nikaona inaanza na neno Thank you for your interest au Unfortunately........ huwa sijisumbuagi kufungua email, moja kwa moja najua nishapigwa tayari
Wana akili, wanatambua kuwa dini utapeli mkubwa hata na wenyewe wanahutumia kutapelia ndo maana wengi wanasomea upadri na uchungaji ili wawe kwenye nafasi za unyonyaji wengine na si kunyonywa na pia kama ni mkristo wa kawaida lazima awe kwenye nafasi za uongozi kama mwekahazina, mzee wa kanisa...
Wewe ndo huna unachokifahamu. Kugundua ni kuona kitu na kufanya ulimwengu wote ukifahamu. Asingeenda kule kufahamisha ulimwengu kuwa kuna bara la America au kuna mlima Kilimanjaro, wewe ungehufahamu lini?
Acha kuongea mambo kwa kufuata mkumbo, ushoga una hatahari gani kwenye maisha yako ya kila siku mpaka ushupaze shingo? Wanaume wote wakiwa marijali wewe utawatafutia k..ma?
Hata kama hakuna kabila la wachaga Kenya, ila asilimia kubwa ya wakenya wanafanana kitabia, kimuonekano na mfumo wa maisha kiujumla. Most Kenyans are hardworking just like Chaggas in Tanzania. Hawana uswahili wa kupenda kuongea ongea sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.