Lakini pia Dr James Watson aliwahi kutoa ushahidi wa kisayansi kuwa; Watu weusi tuna akili pungufu kuliko weupe.
(Blacks are less intelligent than White)
Pamoja na kwamba huyu Dr. Alishambuliwa sana na watu weupe, ajabu weusi wengi walikunaliana na hoja yake.
Kama wengine walivyo elezea, hakuna usimaku hapo; Kwa lugha nyepesi, ni kwamba, kwa sababu ya umbo kubwa la gari moshi linapotembea linazoa hewa nyingi eneo linapita hivyo kusababisha nusu ombwe "partial vacuum" ambayo inabidi ijazwe, hivyo basi, kitu chochote kilicho karibu na eneo hilo...
Mkuu, samahani sana, somo lako ni tamu sana, Mimi binafsi napenda kujua zaidi na majua unayo mengi ya kutufundisha hapa.
Lakini baado swali langu;
Je ni nini kinachofanya sisi tushindwe kufanya hayo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimependa sana maelezo yako. Ni mazuri sana tena sana.
Lakini naomba ufafanuzi pia kwa faida ya Watanzania wengine.
Je ni sababu zipi zinazotufanya sisi Wafrika tushindwe kujitambua sawa sawa na hao uliowataja?
Au ni kwa sababu tunapenda kuwa hivyo tulivyo, ili tuonewe, tubagiliwe...
Mkuu naomba Msada. Hydroponic yangu nilipanda ngano, baada ya siku 8 niliwapa kuku wa nyama wa wiki 2 ajabu waligoma kabisa kula. Inaweza kuwa sababu gani?
Tafauti iliyopo kati ya MJINGA na MPUMBAVU:
MJINGA anajua kwamba hajui, MPUMBAVU hajui kwamba hajui.
Ahsante sana mleta uzi huu, kwani umetupambanua wazi ni wapi tupo katika makundi hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.