Hawa wana sheria yao ya "swim or sink"—wanapokea wanafunzi wengi kwasababu hawana ada kwahiyo wanawachuja ipasavyo kwa mitihani migumu. 50% hawamalizi.
Sema hizo elimu kubwa za nje kuna namna hazisaidii mazingira ya huku ya kifisadi.
Andrew Chenge ana LLM kutoka Harvard cheki scandal alizopata.
Unaweza kuamini Dr. Mohamed Bilal ana MA na PhD za fizikia kutoka UC Berkley! Dah.
Hivyo vya kimarekani kasoro UC Berkley na U Chicago vina watanzania kadhaa kwasababu vinatoa sana ufadhili.
Hivyo vya UK walivioshea kina nyerere enzi za ukoloni sasa hivi hakuna ufadhili, watu wanasoma masters kwa uchache sana.
Masters za UK ni mwaka tu kwahiyo unakuwa kama umeonjeshwa na...
1. Kuwa karibu sana na mwanao ili asiogope kukuambia chochote.
2. Mfundishe kuhusu sehemu zake za siri. Unaweza kutumia maneno mepesi kama 'kikojoleo', 'kalio' nk na umueleze kwamba hakuna mtu yeyote anaruhusiwa kuzishika bila wewe kuwepo.
3. Mueleze kwamba hakuna mtu mzima yeyote anaruhusiwa...
Filamu zangu za mwaka ni;
1. Superman(2025)
Wamemuonesha superman kwa usahihi kama alivyo kwenye vitabu. Mpole, anayejali watu na ni ishara ya matumaini.
2. Mickey 17(2025)
Inaelezea vizuri kuhusu thamani ya utu. Inafikirisha kuhusu baadhi ya vitu, inachekesha pia
3. Edge of Tomorrow(2014)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.