Hapo pakuchepusha maji asilia 100%du mwambie akuje huku kwenye mradi aone wachina walivyopagawa maji yanavyowasumbua.ni jambo la muda.haya maandishi yake msifute jaman.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ukiwa unaendesha gari Kwa mbele ukikwama kwenye mlima kupanda si lazima urudi nyuma ukaanze Kwa kasi ya ajabu.ngoma imalize
Sent using Jamii Forums mobile app
We wacha ushamba mkoa wa kilimanjaro ukipewa hata kipofu utakaa.hakuna cha kuonheza kule kila mtu anajuwa wajibu wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa naomba kuuliza.mbina waandisi wote ni kanda flani?alafu kuna mtambo umekamilika 96 aslimia Leo mwezi wa pili.lakini kuanzA kazi 28 mwezi wa kumi na mbili.asilimia nne mwaka mzima?du
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.