sodoliki
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,593
- 2,016
Unakubali kuwa itachukua miaka 15 kujengwa? Hiyo ndio mada mimi nasema itachukua zaidi ya 20 kwa uongozi huuahaa kwenye hili la SGR siko pamoja na nyinyi kabisaaa, yaani tusiingize siasa kwenye hili, hii reli tunahiitaji sana kuliko siasa zetu za maji taka