Paul Makonda aja na wawekezaji 40 toka Uturuki

digba sowey

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
7,901
14,368
Mkuu wa Mkoa wa DSM, Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 wa Uturuki waliokuja kuchangamkia fursa za uwekezaji wa viwanda DSM.

RC Makonda amewahakikishia Wawekezaji hao kuwa Serikali ya Mkoa wa DSM itawapatia ushirikiano wa kutosha wawekezaji wote wanaotaka kuwekeza ili kutimiza malengo ya Rais Magufuli ya Tanzania ya Viwanda.

RC Makonda amewaeleza wawekezaji hao kuwa DSM inajivunia kuwa na amani na utulivu pamoja na fursa ya uwepo wa Bandari, Uwanja wa Ndege na miundombinu yote muhimu ya kuvutia uwekezaji "nitawapeleka Wawekezaji Kigamboni wakajionee maeneo yaliyotengwa kwa uwekezaji"

Balozi Ali Davutaglu amemuhakikishia RC Makonda kuwa Uturuki itazidi kuendeleza uhusiano na ushirikiano na Tanzania katika nyanja mbalimbali za maendeleo na wamemualika RC Makonda kwenda kutembelea Uturuki.

Watu kama hawa lazima wapingwe na watu wasiopenda Maendeleo,Viva my bro Makonda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waturuki,,,,,? So ni option ya USA? hao waturuki wenyewe Trump alitishia kuwawekea vikwazo vya Kiuchumi wakaufyata, hamna wawekezaji pale wataleta vyerehani na viwanda vya matofali,

unajua uturuki wana viwanda vikubwa vya nguo ? imagine waki share technology na sisi au wanunue pamba yetu na watengeneze nguo zao hapa
kelvin clain jeans zinatengenezwa turkey usiwadharau


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu wa Mkoa wa DSM, Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 wa Uturuki waliokuja kuchangamkia fursa za uwekezaji wa viwanda DSM.

RC Makonda amewahakikishia Wawekezaji hao kuwa Serikali ya Mkoa wa DSM itawapatia ushirikiano wa kutosha wawekezaji wote wanaotaka kuwekeza ili kutimiza malengo ya Rais Magufuli ya Tanzania ya Viwanda.

RC Makonda amewaeleza wawekezaji hao kuwa DSM inajivunia kuwa na amani na utulivu pamoja na fursa ya uwepo wa Bandari, Uwanja wa Ndege na miundombinu yote muhimu ya kuvutia uwekezaji "nitawapeleka Wawekezaji Kigamboni wakajionee maeneo yaliyotengwa kwa uwekezaji"

Balozi Ali Davutaglu amemuhakikishia RC Makonda kuwa Uturuki itazidi kuendeleza uhusiano na ushirikiano na Tanzania katika nyanja mbalimbali za maendeleo na wamemualika RC Makonda kwenda kutembelea Uturuki.

Watu kama hawa lazima wapingwe na watu wasiopenda Maendeleo,Viva my bro Makonda

Sent using Jamii Forums mobile app
Lugha sasa
 
Mkuu wa Mkoa wa DSM, Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 wa Uturuki waliokuja kuchangamkia fursa za uwekezaji wa viwanda DSM.

RC Makonda amewahakikishia Wawekezaji hao kuwa Serikali ya Mkoa wa DSM itawapatia ushirikiano wa kutosha wawekezaji wote wanaotaka kuwekeza ili kutimiza malengo ya Rais Magufuli ya Tanzania ya Viwanda.

RC Makonda amewaeleza wawekezaji hao kuwa DSM inajivunia kuwa na amani na utulivu pamoja na fursa ya uwepo wa Bandari, Uwanja wa Ndege na miundombinu yote muhimu ya kuvutia uwekezaji "nitawapeleka Wawekezaji Kigamboni wakajionee maeneo yaliyotengwa kwa uwekezaji"

Balozi Ali Davutaglu amemuhakikishia RC Makonda kuwa Uturuki itazidi kuendeleza uhusiano na ushirikiano na Tanzania katika nyanja mbalimbali za maendeleo na wamemualika RC Makonda kwenda kutembelea Uturuki.

Watu kama hawa lazima wapingwe na watu wasiopenda Maendeleo,Viva my bro Makonda

Sent using Jamii Forums mobile app

Bado anaamini kwenye siasa za kitapeli?
 
unajua uturuki wana viwanda vikubwa vya nguo ? imagine waki share technology na sisi au wanunue pamba yetu na watengeneze nguo zao hapa
kelvin clain jeans zinatengenezwa turkey usiwadharau


Sent from my iPhone using JamiiForums
Nani Kaku danganya? Kelvin Klein mmarekani yule, kule uturuki kuna vyerahani tu na mafundi, lakini nguo nyingi ma designer wake ni wamarekani
 
Mkuu wa Mkoa wa DSM, Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 wa Uturuki waliokuja kuchangamkia fursa za uwekezaji wa viwanda DSM.

RC Makonda amewahakikishia Wawekezaji hao kuwa Serikali ya Mkoa wa DSM itawapatia ushirikiano wa kutosha wawekezaji wote wanaotaka kuwekeza ili kutimiza malengo ya Rais Magufuli ya Tanzania ya Viwanda.

RC Makonda amewaeleza wawekezaji hao kuwa DSM inajivunia kuwa na amani na utulivu pamoja na fursa ya uwepo wa Bandari, Uwanja wa Ndege na miundombinu yote muhimu ya kuvutia uwekezaji "nitawapeleka Wawekezaji Kigamboni wakajionee maeneo yaliyotengwa kwa uwekezaji"

Balozi Ali Davutaglu amemuhakikishia RC Makonda kuwa Uturuki itazidi kuendeleza uhusiano na ushirikiano na Tanzania katika nyanja mbalimbali za maendeleo na wamemualika RC Makonda kwenda kutembelea Uturuki.

Watu kama hawa lazima wapingwe na watu wasiopenda Maendeleo,Viva my bro Makonda

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama hujui vitu vizuri uliza, wawekezaji from Turkey wameletwa na Ubalozi wa Uturuki hapa nchini, sio Makonda, sijui kama unaelewa.

Hizi akili za ajabu sana
 
Back
Top Bottom