Siku zote mganga hukupa masharti ambayo ni magumu. Mwanzo ukiwa huna hela unaweza fikiri kuwa utayamudu lakini ukizipata unatamani kuyavunja hapo ndio unaanza kuukaribisha wehu.
Nijuacho dogo ni mzaliwa wa Ipinda Kyela, familia yake ni wakulima pia baba yake ni muinjilisti. Tangu aje mjini hana miaka mitano. Nisikiavyo ni kuwa dogo pesa yake ni ya Kwa mganga. Sharti alilopewa ni kutopiga tunda hata kimasihara[emoji1787][emoji1787].
Daahh haya makitu nahisi yana uchawi ndani yake, maana kila nikiacha ninarudi tena. Tupeane uzoefu umetumia njia gani kuacha
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Boss upo Itende sehemu gani? Mana ninampango wa kufanya maisha yangu ys kudumu yawe huko. Kwasasa nipo Arusha ila home ni Mbeya.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.