Pia hiyo nitawezaKwa nini kazi za ndani Pekee,nyingine nyingine kama kuuza duk n.k hauwezi
Sio kazi za ndani tu hata nyingine.. na nimesema dar kwa sababu nina plan yakuja kufanya biashara mungu akisaidia mambo yakienda vizur mbelen kwan dar ni mkoa mzur kwa fursa ya biashara ndogo na hata kubwaKwa Nini dar tu na isiwe mikoa mingine na kwa nini isiwe na kazi zingine iwe ni za ndani tu ?
Kumbe!Sio kazi za ndani tu hata nyingine.. na nimesema dar kwa sababu nina plan yakuja kufanya biashara mungu akisaidia mambo yakienda vizur mbelen kwan dar ni mkoa mzur kwa fursa ya biashara ndogo na hata kubwa
Hakuna mkoa mzuri na wenye fursa nyingi Kama Geita kwa biashara ndogo ama kubwa, hivyo nashangaa kudai unasema dar😂😂😂 mdau pale ameongea point wewe huji dar kufanya kazi Ila una plan zako sema unahitaji pa kuanzia tu ovaer🙊Sio kazi za ndani tu hata nyingine.. na nimesema dar kwa sababu nina plan yakuja kufanya biashara mungu akisaidia mambo yakienda vizur mbelen kwan dar ni mkoa mzur kwa fursa ya biashara ndogo na hata kubwa
Lakin kumbuka ni mawazo yako ndugu sio kwamba ndo uhalisia wenyeweKumbe!
kwa hii gear yako mwajiri ataye soma hapa hawezi kuwa interested na wewe kwa sababu tu inaonekana tayari unataka ganda la ndizi la kufika dar ufanye yako kupitia tajiri, sasa matajiri wengi hawatakupokea.
Wanajua tayari wewe huwezi maliza mwezi kwenye kazi.
Bila shaka utaomba nauli ya kuja dar kwa tajiri atayekuitia kazi
Ok haina shidaHa
Hakuna mkoa mzuri na wenye fursa nyingi Kama Geita kwa biashara ndogo ama kubwa, hivyo nashangaa kudai unasema dar mdau pale ameongea point wewe huji dar kufanya kazi Ila una plan zako sema unahitaji pa kuanzia tu ovaer
Nashkuru sana kwa maneno yako yakutia moyo ndugu yanguMungu atakupa hitaji la moyo wako.
Kuna watu wengi wanatafuta msaidizi.
Ndan ya siku hizi 2 utapata tu
Wewe ni binti na ukileta ujuaji utajikuta unadumbukia kwenye dimbwi baya, jaribu kuchangamsha akili kuona unaishi vipi bila ghasia za wanadamu.Lakin kumbuka ni mawazo yako ndugu sio kwamba ndo uhalisia wenyewe
Nitumie namba yako PM, Mana ninahitaji dada wa kaziNatumaini mu-wazima wa afya ndugu zangu wana jamii forum. Natafuta kazi za ndani (house girl) Dar es salaam. Ni msichana wa miaka 21 nipo Geita kwa sasa. Elimu yangu nimefika form four.
Pia kaz nyingine kama kuuza duka nipo tayari
Habarii,Natumaini mu-wazima wa afya ndugu zangu wana jamii forum. Natafuta kazi za ndani (house girl) Dar es salaam. Ni msichana wa miaka 21 nipo Geita kwa sasa. Elimu yangu nimefika form four.
Pia kaz nyingine kama kuuza duka nipo tayari
Umeshapata kazi?Natumaini mu-wazima wa afya ndugu zangu wana jamii forum. Natafuta kazi za ndani (house girl) Dar es salaam. Ni msichana wa miaka 21 nipo Geita kwa sasa. Elimu yangu nimefika form four.
Pia kaz nyingine kama kuuza duka nipo tayari
tuwasiliane 0717157640Umeshapata kazi?