Recent content by msebia

  1. msebia

    GE2025 Arusha tunaenda na Ally Babu, Makonda NO

    Mwisho wa siku huyohuyo usiyempenda ndio watamchagua, hii ni TZ🤒🤒
  2. msebia

    GE2025 January Makamba aliwa kichwa Bumbuli

    Wanapunguza jam
  3. msebia

    Ifike mahala kumfollow Rais iwe ni lazima

    Au sio tuanzishe kampeni basi🤒🤒
  4. msebia

    Mpina umeteleza, huu siyo wakati wa kuomba huruma ya wananchi, nasimama na Rais Samia

    Kama hilo tuu huelewi, unapata wapi ujasiri wa kuandika humu, inakubidi ulipende, ulielewe na ulikumbatie jina lako la_uchawa kwa nguvu zoooote.
  5. msebia

    Naomba muongozo wa biashara ya mifuko

    Huwa inakaa 50 kwenye bunda moja
  6. msebia

    Pesa ya kujikimu kwa wanafunzi ipunguzwe wapewe elfu 5 ikizidi sana elfu 6, pia pesa ya books and stationary iondolewe au nayo ipunguzwe.

    Kama mfanya research ndio huyu, tuko na safari ndefu mno kufikia mabadiriko chanya
  7. msebia

    Vita ya Haji Manara dhidi ya wachambuzi wa mchongo

    Umesahau inverted winger ila kuna wachagoat wanaitamka invited winger
  8. msebia

    Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

    Yaani wewe kama unaona Yuko sawa kwenye anavyoviongea inapaswa wewe na yeye mpelekwe kwa wataalamu wa afya za akili. Anatafuta pa kushika ila tatizo yote aongeayo ndio yaleyale yanayosemwa na watu vijiweni, watu walitegemea angekuja na majibu ya hizo laana na umasikini ausemao ila cha ajabu...
  9. msebia

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Unaongelea kitu hujaona Wala hukuwepo hadi ukafukue makaburi google hiyo haiumi ila ukiongelea mambo uliyoyaona na kuyashuhudia yanawaumiza sana
  10. msebia

    Ajali Mbaya ya Lori la Taka na Fuso Bagamoyo Rd Eneo la Bunju B

    Amejazia kwenye hoja ya uturuki sio bunju boss
  11. msebia

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Upo sawa kweli, jibu lako ni tafsiri ya utu wako, unasafari ndefu kuufikia utu wako wenye hekima.[emoji375][emoji375][emoji375]
Back
Top Bottom