Recent content by msana

  1. msana

    Serikali iivunje GPSA au iwaondoe viongozi wa ngazi za juu ili manunuzi ya Kiserikali yasisuesue

    GPSA inasaidia wapiga Dili kama nyie na taasisi za umma kuwabana mchujwe isiwepo ujanja ujanja kusainisha mikataba ya ununuzi uchochoroni na ndo kinachokuuma jizi kubwa wewe
  2. msana

    Yanayosemwa huko Algeria kuhusu tuhuma za kufix mechi ya Tanzania vs Algeria

    Mechi ilikuwa sahihi kwa hayo matokeo mana Algeria hakuna walichokuwa wanatafuta katika mechi hii walishafuzu Ina mana na hao waganda tuseme walifix na Niger wakapewa zile goli mana Niger nayo ilikuwa ishajikatia tamaa
  3. msana

    Serikali iivunje GPSA au iwaondoe viongozi wa ngazi za juu ili manunuzi ya Kiserikali yasisuesue

    Wewe ni jizi GPSA imesaidia sana kumpunguza wezi na wafanyabishara wa michongo wakuiibia serikali [emoji3][emoji3] kama unataka biashara ulipe Kodi kwani stationary lazima ufanye na serikali tu private huko hawataki vifaa? Jizi kubwa weee
  4. msana

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Si wao nyie inawauma Nini [emoji3]
  5. msana

    Waliokuwa na chuki binafsi na Rais Samia wajiweka hadharani na Taifa limewatambua

    Kwani kuchambuliaa uzanzibar si muendelezo tu kama walivyo kuwa hao wakitazamwa tu wakiichambua sukuma gang au [emoji23][emoji23][emoji23] tulieni dawa ziingie
  6. msana

    Tusipoangalia Sukuma Gang watafanikiwa sana

    Mbona mapema sana jemeni si tulikubaliana Hadi 2030 au [emoji23][emoji23][emoji23]
  7. msana

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ona hii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  8. msana

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Nimepita humu kusoma comment zenu ili nicheke tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ntakuja Tena September hapo December nicheke Tena alafu kufika march ndo ntawacheka Hadi may mkiwa nafasi zenu zile za 10 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  9. msana

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mana hata de bruyne na Salah kwenu walionekanaga takataka [emoji23][emoji23]
  10. msana

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hao taka taka mtaona utakataka wao ligi ikianza si kesho kutwa tu [emoji23]
  11. msana

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mlisema hivyo wakati mnanunua mudryk kwa mahela rukuki ....KIKOWAPI Sasa [emoji23][emoji23]
  12. msana

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mtamkumbuka atachokuwa akiwafanya mkicheza na arsenal [emoji23][emoji23]
  13. msana

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Jiandae kupasuliwa tu kwa arsenal hii kulishwa goli 3 timu Yako itakuwa kawaida sana [emoji3][emoji23][emoji23]
  14. msana

    Hivi ni lazima tunaosafiri kwenda Mkoani Mara tupite Mkoani Mwanza? Hakuna Chocho lingine la kufika haraka?

    Kutokea wapi Sasa mkuu au Kagera kama dar pitieni Arusha ndo utauina umbali halisi [emoji3]
Back
Top Bottom