Recent content by Msamalia Mmoja

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nina Milioni 3 ni bora ninunue hisa za CRDB au niende Chalinze nikanunue kiwanja?

    Utafanya biashara gani ndo 3 zifike kumi baada ya mwaka?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Niliyojifunza kutoka kwenye utekwaji wa Humphrey Polepole

    Siku moja nilikutana na injinia mmoja wa kikenya, nikamuuliza mmewezaje kuibadilisha kenya mpaka watu wakajielewa, akasema watu walikufa sana, na akasema ili wabongo mpate kujielewa ile October 29 zinatakiwa kuwa mala saba au kumi kabisa nchi ndo itakaa sawa.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi apiga marufuku mikutano ya siasa kwa vyama vyote

    Hivi membe yupo wapi?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nikisema wabunge wa CCM hawajielewi, nitakuwa nawatukana?

    Hili zwazwa
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kama Mzee Warioba anadai Polisi waliopiga watu risasi Oktoba 29 ndio watuhumiwa namba moja nani aliwapa polisi amri ya kupiga watu risasi?

    Mbona Bi mkubwa alishasemaga kuwa tuliwapokea waandanaji kwa namna walivyokuja, kwa kauli hiyo basi hata mtoto mdogo anajua nani aliwatuma wauaji.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kisaikolojia, ni kawaida mtu kuopoa demu siku ambayo mzazi wake amefariki?

    Mtoa mada, umenikumbusha jamaa flani huko mkoani tulienda kuzika sasa usiku wa mkesha kuamkia maziko jamaa mwenyeji wa hapo alikuwa anamdinya mkewe watu tupo nje, inshu sio kumdinya inshu ni hiyo milio mpaka nje watu tukawa tunasikia manzi akitoa milio.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mabinti wanaokaa peke yao wanaongoza 'kujibaka'

    Duhhh, sa itakuweje..!!
  8. M

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Wazee CHADEMA wabwaga manyanga

    Kwani nani analeta huu ujinga?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Watu wanajipa muhimu nyie, acheni tu

    Ilikuweje hapo
Back
Top Bottom