Recent content by msaidimahadhi

  1. msaidimahadhi

    JamiiForums Tanzania Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

    Hahahahaaa hapo mkuu umetaja miwaanga hahaaa ww lazima wa iringaaaa hahaaa
  2. msaidimahadhi

    JamiiForums Tanzania Wana JF naombeni ushauri wa Biashara

    Asante kwa ushauli mzurii ndugu yangu.
  3. msaidimahadhi

    JamiiForums Tanzania Wana JF naombeni ushauri wa Biashara

    Kweni iringa town mkuu but me nipo mtwara kikazz.
  4. msaidimahadhi

    JamiiForums Tanzania Tangazo la ajira Jeshi la Polisi 2014/2015

    Kweli kabisaaaa
  5. msaidimahadhi

    JamiiForums Tanzania Wana JF naombeni ushauri wa Biashara

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24. Nitahitaji kuanzisha biashara yangu ya duka la nguo. lakini huku kwetu ni washirikina sana.na mimi sihitaji kjihusisha na ushirikina na hata biashara yangu kuihusidha na ushirikinaa..pili naogopa na ule mchezo wa chuma ulete.nifanyaje niweze kujikomboaaa??
  6. msaidimahadhi

    JamiiForums Tanzania Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

    Hahaaaa we jiwe gangi umenikumbusha mbaliii ni kitambo tangu nasoma mwembetogwaaaa
  7. msaidimahadhi

    JamiiForums Tanzania Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

    Hahahaaaa hasa mwishomiiii?
  8. msaidimahadhi

    JamiiForums Tanzania Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

    Yule kajizira sababu anadoz afu anakunywa pombe pili hajali usalama wa wengine sababu yeye hana uhakika kama ata survive.yule hawez kupewa hata ushauri sababu anajifanya anajua kila kituuu
  9. msaidimahadhi

    JamiiForums Tanzania Tangazo la ajira Jeshi la Polisi 2014/2015

    Jamani mm ni police nipo FFU kiukweli mengiiiii yanasemwa ila kazi ya police ni wito tena wa hali ya juu wengi huona polisi hatuna elimu but si kweli af wengi huona sisi wala rushwaa but kila mtu na msingi mbovu wa kazi aliojiwekea ndio maana hura rushwa..ila tambua kuna askali tunao fuata...
  10. msaidimahadhi

    JamiiForums Tanzania Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

    Hiyo ndio safii maana analeta umaarufu wakati kafanya uhalibifuu.xasi police kwa kumfunza adabu lakini kuweni makini ni mgonjwa alie jizira huyoooo
  11. msaidimahadhi

    JamiiForums Tanzania Hawa Mtawatambua Tu Kama Ifuatavyo

    Anaye changia ujinga kwenye suala la msingi
  12. msaidimahadhi

    JamiiForums Tanzania Hawa Mtawatambua Tu Kama Ifuatavyo

    Ujue huyo ni shetaniiii
Back
Top Bottom