Tangazo la ajira Jeshi la Polisi 2014/2015

Tangazo la ajira Jeshi la Polisi 2014/2015

Jamani mm ni police nipo FFU kiukweli mengiiiii yanasemwa ila kazi ya police ni wito tena wa hali ya juu wengi huona polisi hatuna elimu but si kweli af wengi huona sisi wala rushwaa but kila mtu na msingi mbovu wa kazi aliojiwekea ndio maana hura rushwa..ila tambua kuna askali tunao fuata kanuni na taratibu za kazi but raia hutuita wanoko.sababu hatupokei rushwa..pia kuna watu husema wakubwa wanatuma askali wa chini kula ruswa af wanagawana.me sema si kweli kwani hata kanuni za kaz haziruhusu kitu hichoo kutendekaaa.
 
vijana changamkieni kazi hiyo mtulindie pesa zetu bank
 
hakuna kiumbe kisichopenda raha,
kazi ya upolisi humnyima mtu kujichanganya na jamii yake ... ndio maana mmetengewa maeneo yenu binafsi kama vile KILWA ROAD, mara utaskia Qarters za ........ ,,, eti usije kwa kukosa kazi ..... wengi wanakuja huko kujibanza tu. siji huko mpaka mbadilike na mbadilishe mfumo... kupig raia ndani ya taifa huru ndio furaha yenu alafu mnasema KAZI HII INALAWAMA, we ulitaka msifiwe haya mi nawasifia MNAONEA RAI.
 
hakuna kiumbe kisichopenda raha,
kazi ya upolisi humnyima mtu kujichanganya na jamii yake ... ndio maana mmetengewa maeneo yenu binafsi kama vile KILWA ROAD, mara utaskia Qarters za ........ ,,, eti usije kwa kukosa kazi ..... wengi wanakuja huko kujibanza tu. siji huko mpaka mbadilike na mbadilishe mfumo... kupig raia ndani ya taifa huru ndio furaha yenu alafu mnasema KAZI HII INALAWAMA, we ulitaka msifiwe haya mi nawasifia MNAONEA RAI.

wewe ni kati ya wale watz ambao hawatafakari vichwani mwao ktk katiba mpya wakapendekeza jeshi la police lifutwe ikitokea dk 10 police wakapumzika hakuna atakayemkamata mvunja sheria basi nchi nzima ni majanga watu wataporwa watauawa wataibiwa na kubakwa hapo ndipo wananchi mnapaswa mjue faida kubwa ya police kwa jamii.
 
Vigezo vya kupangiwa interpol vipoje mkuu???nasikia pia TISS wanachukua ccp,kuna ukweli wowote??kama ndio wanatumia vigezo gan
 
vijana changamkieni kazi hiyo mtulindie pesa zetu bank

Laki si pesa hujaajiriwa...tunakujua ni mchumia tumbo wa pesa za ccm kwa kazi ya kujibu hoja za wapinzani mitandaoni. Laptop, modem na vihela vya vifurushi mnavyopewa na Nape ndo tuvilinde sisi? Embu nenda jukwaa la siasa ukapangue hoja ulipwe chako ukalale. Tupo serious hapa afu unatuletea utaahira wako?! Umeniudhi...
 
sidhani kama kuna upendeleo apo. Majeshi yoote huajili hivyo. Jwtz wanaweza kupokea hata 27 kwa kuwa lazima upitie jkt so wana assume umeipotezea huko. Tunachukua damu changa (wadogo zenu) ili tutengeneze spirit na integrity/positive attitude kazini. Nashauri wakitoka tu ccp waulizeni ivi katka zile course 10 mnazosoma...ukiacha ya mwisho 'field crafts' ni ipi inafundisha rushwa? Mbona mkifika huku mnaharibika? Au mnaiga wakongwe?

hawa walichukuliwa wakiwa na umri gani??? 255475_4672918827259_1469807297_n.jpg

na hiyo kozi ni ya ngapi kati ya hizo 10 ulizo taja????
 
Sasa mkuu wanataka graduates wa 2013/14 afu wanasema uambatanishe transript, hizo transcript zimetoka lini? Au mi ndo sijaelewa!
 
binafsi kaz ya kufanya kwa amri instead ya kutumia akili zaidi siipendi... Mana unakuwa unaendeshwa na mawazo ya watu flan badala ya utashi wako

kimsingi kwa police wa tz akili unakabidhi chamani halafu unaanza kufanya yafuatayo. Rusha vitu vyenye ncha kali, kubambikia watu kesi, kutumia nguvu hata kwa asiye kuwa na kiwenbe, rushwa kwao ni sunna,............................................. images AW.jpg View attachment 176865...........NA HAPO
... Iringa.jpg images D.jpg FG.jpg images V.jpg imagesAW.jpg View attachment 176872 tanzania-police-brutality G.jpg index.jpg HUYO MWENZAO KUTOKA ZIMBABWE 00280568 d58ac0a7e9c74a4d3e820876e417f448 arc614x376 w290 us1.jpg
 
kuna haja ya kukamata baadhi ya watu humuhumu ili waeleze na kujibu baadhi ya tuhuma wanazozitoa ambazo kimsingi hazina mantiki yoyote nawasihi UTII WA SHERIA BILA SHURUTI
 
Namshauri Ninaweza kama alivoweka matukio ya negative impact of police operations...aweke na picha za mazuri yaliyofanywa na police. Kama hayapo basi mazuri kwa upande wa polisi basi ashauri kwenye katiba ijayo;
. Jeshi la Polisi lisiwepo,maana linaua watu.
. Ajiunge Jeshi la Polisi ili aje arekebishe upuuzi huo.
. Kama hawezi kati ya hayo yote basi akae kimya asiweke picha za uchochezi na kukumbusha machungu watu mitandaoni. Lakini zaidi nimkumbushe tu kuwa hizo picha alizonazo amuulize aliemrushia kuwa wahanga hao walikosa nini....na wangeachwa nn kingetokea?! OVER!
 
hawa walichukuliwa wakiwa na umri gani???View attachment 176841

na hiyo kozi ni ya ngapi kati ya hizo 10 ulizo taja????

Da ukiiangalia hiyo picha inamuonyesha aliyetenda akidhibitiwa na katiba mpya inafuta adhabu ya kunyongwa mpaka ufe nahisi wataongeza bidii ya kuua maana hakuna kuuliwa.
 
Sir Lugoje nimeku PM naona haujanijibu bado, ila wasiwasi wangu nilikuwa nimekata tamaa kuomba hyo kaz kwani naipenda sana kwa kigezo cha umri, nina miaka 26 sasa. Ila baada ya kuona unasema tunaweza omba ngoja nijarbu na mimi
 
Sir Lugoje nimeku PM naona haujanijibu bado, ila wasiwasi wangu nilikuwa nimekata tamaa kuomba hyo kaz kwani naipenda sana kwa kigezo cha umri, nina miaka 26 sasa. Ila baada ya kuona unasema tunaweza omba ngoja nijarbu na mimi
Karibu jembe...na ukifanikiwa unitafute.
 
Ina maana polisi ina shule zake, hao waalimu wanafanya kazi gani polisi

Tunaajiri wenye fani ya ualimu kwa maksudi mawili. Tunajaribu kutengeneza jeshi lenye mahusiano mazuri na raia ili tushirikiane kudhibiti uhalifu. Walimu wamesomea psychology hivyo tunawaweka kwny kitengo cha "Polisi Jamii/Community Police" kilichopo kila mkoa kunegotiate au kushirikiana na raia pamoja nakutatua migogoro...hasa ya wakulima Vs wafugaji.
Pia tunaajiri waalimu kufundisha ktk vyuo vya polisi ( vinne) vilivyopo Zanzibar-ZPA, Dar- DPA,Moshi-MPA/CCP, Kidatu/ Moro-KPA. Kufundisha kozi mbalimbali za utawala,sociology,sheria,psychology,comm..skills, etc.
 
Tunaajiri wenye fani ya ualimu kwa maksudi mawili. Tunajaribu kutengeneza jeshi lenye mahusiano mazuri na raia ili tushirikiane kudhibiti uhalifu. Walimu wamesomea psychology hivyo tunawaweka kwny kitengo cha "Polisi Jamii/Community Police" kilichopo kila mkoa kunegotiate au kushirikiana na raia pamoja nakutatua migogoro...hasa ya wakulima Vs wafugaji.
Pia tunaajiri waalimu kufundisha ktk vyuo vya polisi ( vinne) vilivyopo Zanzibar-ZPA, Dar- DPA,Moshi-MPA/CCP, Kidatu/ Moro-KPA. Kufundisha kozi mbalimbali za utawala,sociology,sheria,psychology,comm..skills, etc.
watu wenye fani za HRM wanapangwa vitengo gan? msaada
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom