Tangazo la ajira Jeshi la Polisi 2014/2015

Tangazo la ajira Jeshi la Polisi 2014/2015

watu wenye fani za HRM wanapangwa vitengo gan? msaada

Ukikaa sehemu kama ofisi ya RPC (mkoa), Zone (central/tarime), au makao makuu ya polisi...utawekwa kitengo chako. Ila kutokana na tatzo la upungufu wa askari nchini unaweza kupangwa wilayani huko ambako cna hakika kama kuna kitengo hicho cha HR.
 
Ukikaa sehemu kama ofisi ya RPC (mkoa), Zone (central/tarime), au makao makuu ya polisi...utawekwa kitengo chako. Ila kutokana na tatzo la upungufu wa askari nchini unaweza kupangwa wilayani huko ambako cna hakika kama kuna kitengo hicho cha HR.

Watu wa IT na computer science mwaka huu hamuwahitaji ?
 
Nasikia mnapatiwa na Bima ya afya kwa watu sita bure kabisa! Ni kweli au sound?
 
Walichukua wengi sana mwaka jana...na wengine waliosomea wakiwa kazini...hata wenye certificate wameendelezwa ktk mambo ya cyber crimes na program useful kwetu. Nadhani kwa mantiki hiyo ile kamati ya Recruitment committee wameona wasichukue mwaka huu au may be watatangaza nakuita as a special group. Mara nyng inakuwa hivyo...
 
Walichukua wengi sana mwaka jana...na wengine waliosomea wakiwa kazini...hata wenye certificate wameendelezwa ktk mambo ya cyber crimes na program useful kwetu. Nadhani kwa mantiki hiyo ile kamati ya Recruitment committee wameona wasichukue mwaka huu au may be watatangaza nakuita as a special group. Mara nyng inakuwa hivyo...

Nimekusoma mkuu
 
changamkieni kaz mtulindie pesa zetu bank.maana majambaz wamezid siku hiz
 
Walichukua wengi sana mwaka jana...na wengine waliosomea wakiwa kazini...hata wenye certificate wameendelezwa ktk mambo ya cyber crimes na program useful kwetu. Nadhani kwa mantiki hiyo ile kamati ya Recruitment committee wameona wasichukue mwaka huu au may be watatangaza nakuita as a special group. Mara nyng inakuwa hivyo...
Police kuna kujiendeleza kimasomo??moja kati ya shutma zilizopo mitaani ni kuwa kuns ufinyu wa nafac za kujiendeleza kielimu tofauti na jwtz
 
changamkieni kaz mtulindie pesa zetu bank.maana majambaz wamezid siku hiz

Unapesa gani za polisi kukulindia dogo? Unaelimu ndogo na degree ya maua...nani atakuaajiri kaka?. Shukuru program ya Nape kuwawezesha laptop,modem na salio kwa ajiri ya kifurushi cha wiki. Usikejeri na kuvunja mioyo watu....maisha magumu,ww mwnyw shahidi.
 
ni kwel jesh la polisi kupo pooa siku hizi nilimaliza depo mwaka jana nakula zangu changu........karbun wadau jazeni mpate ajira....
 
Walichukua wengi sana mwaka jana...na wengine waliosomea wakiwa kazini...hata wenye certificate wameendelezwa ktk mambo ya cyber crimes na program useful kwetu. Nadhani kwa mantiki hiyo ile kamati ya Recruitment committee wameona wasichukue mwaka huu au may be watatangaza nakuita as a special group. Mara nyng inakuwa hivyo...

Mkuu hawa watakaoomba hizi nafasi za wahitimu wa elimu ya juu wanatarajia kuanza mafunzo lini nikiimanisha watakaofuzu usaili wataanza mafunzo ya jeshi la polisi kama mwezi wa ngapi?
Nisaidie kujua kuna jamaa yangu anawaza kuomba hiyo nafasi lakini kuna vitu vingine anafanya kwa sasa hivyo anataka kujua ili asichanganye ratiba kwa swala nyeti kama hili.
 
Kozi ya mafunzo itaanza mwez October mwanzoni. Watasafilishwa kwa awamu but itz definetily october.
 
Ndioo...labda iahirishwe. Interview ni mwez september had october mwanzon. Walioko depo wanarudi september...then wapya watajiandaa kuondoka
 
Unapesa gani za polisi kukulindia dogo? Unaelimu ndogo na degree ya maua...nani atakuaajiri kaka?. Shukuru program ya Nape kuwawezesha laptop,modem na salio kwa ajiri ya kifurushi cha wiki. Usikejeri na kuvunja mioyo watu....maisha magumu,ww mwnyw shahidi.

kesho napeleka ela ndefu bank nitakutafuta unipe escort dogo.. polisi wenzako wakiniona wananigombania niwape dili.la kulinda pesa zangu .
 
Laki si pesa hujaajiriwa...tunakujua ni mchumia tumbo wa pesa za ccm kwa kazi ya kujibu hoja za wapinzani mitandaoni. Laptop, modem na vihela vya vifurushi mnavyopewa na Nape ndo tuvilinde sisi? Embu nenda jukwaa la siasa ukapangue hoja ulipwe chako ukalale. Tupo serious hapa afu unatuletea utaahira wako?! Umeniudhi...

mkuu, kwani wale polisi wanaokesha na magobore bank wanafanya kazi gani? si wanatulindia pesa zetu zisiibiwe?
 
I cant argue with u monger. U seem to hv smthng evil in ur head, it is more than insanity to enjoy embarrasing and abase others while u dont know about your tommorrow.
Laki si pesa...its true tunakulindia pesa zako bank na hatuna kazi zingne...then farewell and say hello to ur wife and boss!
 
Hizo barua za maombi tunaweza peleka moja kwa moja makao makuu kwa sisi tuliopo Dar au mpaka tupitishe posta. Alafu tunatuma kwenye EMS au tunatumia ya kawaida
 
kesho napeleka ela ndefu bank nitakutafuta unipe escort dogo.. polisi wenzako wakiniona wananigombania niwape dili.la kulinda pesa zangu .

Mkuu mbona una hoja za kitoto, sasa hayo majigambo ya kulindiwa pesa yanasaidia nini? Mbona polisi wanafanya kazi nyingi tena zenye maana ambazo zinakufanya wewe uwe na amani ya kwenda popote na mda wowote hapa Tanzania vinginevyo ungeshindia ndani au hata hivyo visenti unavyojivunia usingekua navyo.
Leta argument zenye maana au uliza maswali yenye akili ili wengine wapate kujifunza, haya unayoleta hapa ni mambo ya wanawake wa pwani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom