Recent content by Msafiri Haule

  1. Msafiri Haule

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Heche, Lema, Sugu na Boniyai acheni kelele, njooni wote kwenye mdahalo mimi niwe peke yangu

    Kumpa airtime tu ni ishara ya ujinga nilionao...
  2. Msafiri Haule

    JamiiForums Tanzania Tangazo la Kazi (Ruvuma-Songea)

    Kuna uhitaji wa kupatikana kwa watu wawili. Wote hao, huitajika Songea, katika Pub. 01. Counter Anaweza kuwa wa kike au wakiume. Elimu at least, form 4 na kuendelea. 02. Mhudumu wa Vinywaji, Anatakiwa awe wa Kike (Presentable) Mshahara Counter, Tsh 70,000/= wakati Mhudumu, 60,000/=. Chakula...
  3. Msafiri Haule

    JamiiForums Tanzania SoC03 Nakataa kuwa mtumwa, sasa najituma!

    Hongera
  4. Msafiri Haule

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi yoyote halali

    Hello! Hujaweka mawasiliano. Itafute no hii 0758059818
  5. Msafiri Haule

    JamiiForums Tanzania Je, Hekima ni Uhuru? Tafakuri ya Mijadala kutoka UDSM; Kigoda cha Mwl. Nyerere na IGA

    Na Msafiri Egno Haule, Chuo kikuu cha Dar es Salaam kimekuwa na historia nzuri ya kuchombeza mijadala yenye kuvutua alaiki ya watanzania wengi. Hii inakuja baada ya wachagizaji wa mada hizo wengi wao kuwa ni wanazuoni wenye kujadili hoja vile zilivyo na si vile wao walivyo. Kwa muktadha wa...
  6. Msafiri Haule

    JamiiForums Tanzania Huu mwaka 2023 kuna watu bado wanamsikiliza Issa Shivji?

    Si ilivyo kwa mtoa mada, maana kajikuta akimjadili mtoa hoja na historia yake na kusahau validity ya hoja za mtoa hoja. Ndiyo angalizo nililoliweka hapo.
  7. Msafiri Haule

    JamiiForums Tanzania Huu mwaka 2023 kuna watu bado wanamsikiliza Issa Shivji?

    Kuna shida katika kuelewa mambo kama yalivyo badala yake watz tumechagua kuyaelewa vile siye tulivyo. Ni hatari kujibu kitu kwa kumvamia mtoa hoja badala ya kutafuta ukweli na uongo wa hoja zenyewe. Tukiwa katika hali hiyo naamini tutakuwa watu wema katika ujenzi wa taifa.
  8. Msafiri Haule

    JamiiForums Tanzania Kwanini unaishi nyumbani kwenu hadi leo?

    😂😂👋👋
  9. Msafiri Haule

    JamiiForums Tanzania CCM vs Serikali

    Salamu kwenu, nyote wenye kulitakia heri taifa. Yahitaji maarifa ya CUBA kuelewa kwa namna gani CCM inamudu kusimamia serikali. Hii inakuja baada ya wajumbe wakuu wa Kamati kuu kuwa ni viongozi wakuu wa serikali mfano Rais, Spika na Waziri. Sasa, maagizo ya Kamati Kuu kuielekeza serikali...
  10. Msafiri Haule

    JamiiForums Tanzania SoC02 "Mambo nchini Lwambo"

    Mwendapole hajikwai ndivyo wanenavyo wahenga, salamu kwa wasomaji ndiyo sifa yangu njema. Jioni kabla ya jua kuacha kutuandama, wanakoo hujikusanya barazani kwa mzee Ndama. Watoto hujaa mapema hasa tangu hadithi ya Malkia Lidya kuanza kusemwa. Siku hiyo Bibi ajulikanaye kwa jina la Msenga...
  11. Msafiri Haule

    JamiiForums Tanzania Mkanganyiko juu ya dhima ya ziara ya Waziri wa Nishati

    Ahsante sana mkuu
  12. Msafiri Haule

    JamiiForums Tanzania Mkanganyiko juu ya dhima ya ziara ya Waziri wa Nishati

    Na tunafahamu fika kuwa si sawa, na bado hatusemi lolote kuiponya nchi...kuna ombwe kubwa huko mbeleni kwa wajukuu wetu, wakitudai kuwa tulikuwa si kitu si chochote kutetea umma.
  13. Msafiri Haule

    JamiiForums Tanzania Mkanganyiko juu ya dhima ya ziara ya Waziri wa Nishati

    Siku imepita lakini fikra hazikomi kunyukana baada ya kusoma gazeti la Mwanachi lenye kichwa cha habari “KUNI ZINAVYOKATISHA UHAI KWA KASI, JANUARY ASHTUKA”. Baadae, mikono nayo inanituma kutia wino yale yote kichwa hunena. Yamkini watanzania wengi wamesikia/kuona ziara za Mh.Makamba (Waziri...
  14. Msafiri Haule

    JamiiForums Tanzania Ulizia chochote kuhusu Upatikanaji wa miche ya Matunda, viungo na tiba

    Hello, Naweza kupata miche ya Macadamia?
Back
Top Bottom