Unataka nipendekeze nini tena wakati mapendekezo yashafanyika? Kwamba nikitaja hapo kule kutafanyia changes ama? Au wewe ndo unakusanya data za mapendekezo
Membe alijua mapema haya yatatokea ndo maana akaamua kampeni zake za "uraisi"zifanyike mikoa ya kusini.
Kule inamfanya anakua na uwezo wa kuzunguka bila gharama nyingi[emoji16][emoji16][emoji16]
Ajiloge tu aseme anazunguka nchi nzima atafia njiani kabla hajatusomea "Ilani" yote.
Hii ni kweli kabisa..inafika mahali unaona kama huyu mtu msumbufu..kwa "statement" yake hyo inaonyesha kabisa jamaa ana "umimi"..ni mtu ambaye anajali zaidi upande wake bila kujua mwenzake vipi..ina maana hana uhakika kama mwenzake huwa anaridhika au lah.!
Kabla hujaanza kulalamika tafuta tatzo...
Nashangaa kwann asiongee kuhusu corona wakati mwanzo ilikua point yake kubwa..kuwa corona ipo na Watanzania wanakufa sana.
Now hawezi ku-address tena hii issue sababu ya kampeni..hvyo ameona acha corona iendelee kutuuwa huku akinadi sera zake.
#Magufuli2020
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.