Ujumbe wangu kwa TCRA kuhusu Twitter

Ujumbe wangu kwa TCRA kuhusu Twitter

Ipo hivi, kulikua na video youtube iliyokua inaonyesha jinsi ya kufunga twitter bahati mbaya baada ya tcra kuitumia na kufanikiwa jamaa akaifuta..

Hadi muda huu tcra wanatafuta desa jinsi ya kufungilia twitter.
Mtandao wa Twitter ni nyenzo muhimu sana ya upashanaji habari kwa haraka na kuwezesha majadiliano kuhusu masuala mbali mbali ya kiuchumi, kijamii, kisiasa n.k. bila mipaka karibu ulimwenguni kote.

Kwa sehemu kubwa, kuipata au kutumia Twitter imekuwa jambo lenye ugumu kana kwamba domain ya Twitter imekuwa blacklisted au kuna hitilafu za kitaalam kwenye mifumo. Au ni simu yangu ndio ina shida?

Hii ina afya kwa ustawi wa Taifa katika zama hizi za “information age”?

Kutumia VPN ni gharama lakini pia kuna mazingira inakuwa ni kuvunja sheria.

TCRA, kwanini Twitter isiwe free na rahisi kutumia kwenye simu yangu kama ilivyokuwa mwanzo?
 
Mtandao wa Twitter ni nyenzo muhimu sana ya upashanaji habari kwa haraka na kuwezesha majadiliano kuhusu masuala mbali mbali ya kiuchumi, kijamii, kisiasa n.k. bila mipaka karibu ulimwenguni kote.

Kwa sehemu kubwa, kuipata au kutumia Twitter imekuwa jambo lenye ugumu kana kwamba domain ya Twitter imekuwa blacklisted au kuna hitilafu za kitaalam kwenye mifumo. Au ni simu yangu ndio ina shida?

Hii ina afya kwa ustawi wa Taifa katika zama hizi za “information age”?

Kutumia VPN ni gharama lakini pia kuna mazingira inakuwa ni kuvunja sheria.

TCRA, kwanini Twitter isiwe free na rahisi kutumia kwenye simu yangu kama ilivyokuwa mwanzo?

Mimi simu yangu inafyatua mtandao wa Twitter 24 hours na kwa speed kali!
 
Mtandao wa Twitter ni nyenzo muhimu sana ya upashanaji habari kwa haraka na kuwezesha majadiliano kuhusu masuala mbali mbali ya kiuchumi, kijamii, kisiasa n.k. bila mipaka karibu ulimwenguni kote.

Kwa sehemu kubwa, kuipata au kutumia Twitter imekuwa jambo lenye ugumu kana kwamba domain ya Twitter imekuwa blacklisted au kuna hitilafu za kitaalam kwenye mifumo. Au ni simu yangu ndio ina shida?

Hii ina afya kwa ustawi wa Taifa katika zama hizi za “information age”?

Kutumia VPN ni gharama lakini pia kuna mazingira inakuwa ni kuvunja sheria.

TCRA, kwanini Twitter isiwe free na rahisi kutumia kwenye simu yangu kama ilivyokuwa mwanzo?
FAIDA KWA WOTE WENYE TATIZO LA KUTOIPATA TWITTER, MNUNUE LAINI ZA ZANTEL, UKIWA NA ZANTEL TWITTER UNAIPATA KAMA INSTAGRAM, YANI NINA KARIBU MWAKA SIKUWAHI KUITUMIA TWITTER, LAKINI TOKA NIMENUNUA LINE YA ZANTEL YANI TWITTER KAMA MAJI YA KUNYWA, TENA SINA HATA VPN. NIMEWAPA SIRI HIYO.
 
Wanaifungia kwakuwa hawawezi kupata info za user endapo utapost mambo ya kuwakanya ila ma social mengine ni dakika umedakwa! Tweeter ipo encrypted end to user
 
Huwezi kujua ndiyo tatizo, yaani ulinfanushe Twitter na Facebook au Instagram??
Hujui kitu ndio maana nimekuuliza aliekudanganya ni nani maana unaonekana hujui chochote na unachokijua ulidanganywa.

Rudi kwa aliekudanganya umwambie akwambie ukweli.

Ni watu wajinga tu na wasioelewa chochote ndio hua wanadanganyana kua twitter ni bora kuliko mitandao mingine, ukimuuliza ubora wake, hajai na hana na hawezi kua nao.

Ukija humu tafta namna zaidi ya kuelewa kuliko kubisha kitu usichokijua, ni dalili za mtindio wa ubungo.
 
Back
Top Bottom