Wanaume wanakosa mafunzo ya namna ya kuishi,kumlea na kumuelewa mwanamke.Mi naamini sisi wanawake ni viumbe dhaifu sana mbele yenu kama tu wanaume mtafanya jitihada za dhati kutuelewa.
Ule mchezo ni mzuri kaka angu na haukuna raha kama ile duniani![emoji12]
lakini Wanawake huwa hautuwazishi,yaani hautufikirishi!Na ndio maana ni rahisi kwa mwanamke kukaa mwaka mzima bila kuucheza na inaweza kuwa ngumu kwa mwanamume.Na kwa sababu hiyo mwanamke anaweza cheza mechi hata ishirini...
Dada angu..Saula hili ni janga la dunia.kwa upande wangu mimi sipendi sana kugeneralize viti kama hivi.Kawa sababu hata sisi wanawake pia kuna wengine ni hatari.Nlishawahi kukutana na mwanamke anamnyanyasa mumewe hadi nikatamani anigawie mimi huyo kaka.Nachojaribu kusema ni kuwa sio wanaume wote...
Ila kwa upande mwingine utaona mzungu anavyobehave mbele ya mkuu wa nchi..Inaonyesha yuko obidient na tayari kusikiliza..huezi kusimama na mtu mwenye mamlaka yake tena nyumbani kwake ukaweka mikono kiunoni au mfukoni.. hata kama we ndo una haki!Mi naona highest level of civilization kwa huyo...
Mmhhh mi naona ni vyema tuakaanza kwanza kuandamana ACACIA waondoke halafu mengine yafuate..Sijawahi kuandamana tangu nizaliwe ila tukiandamana kuwaondoka hao watu nitakuwa mstari wa mbele.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.