Heloo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,391
- 3,402
- Thread starter
- #21
Acha ubahili.Eti worries za Kesho. Jidanganye.Kwani ukimtunza mke Kesho haipo.mawazo potofuuuKwani mke amekuwa umeme, kwamba utazimika usipolipa bill ? Muono finyu wa kuwaza leo unawaponza. Eti mkono wa birika !! Kama umekula na umeshiba, unataka hela ya nn ? Nguo subiri mwaka mpya, nywele fanya kuzipunguza kwa mkasi, ama jifunge mabutu (vishungi).
wanaume wengi wako worried na kesho, siyo leo. Ndiyo maana wanabana leo ili kesho ipite salama