Wanawake wenzangu Ebu tutete kidogo hapa!

Kwani mke amekuwa umeme, kwamba utazimika usipolipa bill ? Muono finyu wa kuwaza leo unawaponza. Eti mkono wa birika !! Kama umekula na umeshiba, unataka hela ya nn ? Nguo subiri mwaka mpya, nywele fanya kuzipunguza kwa mkasi, ama jifunge mabutu (vishungi).

wanaume wengi wako worried na kesho, siyo leo. Ndiyo maana wanabana leo ili kesho ipite salama
Acha ubahili.Eti worries za Kesho. Jidanganye.Kwani ukimtunza mke Kesho haipo.mawazo potofuuu
 
Mkuu mpaka sasa hivi mwanamke aliyechangia ni mmoja naye hajasema kua wanaume wana matatizo ila kaunga mkono kua watu bahili wana wivu.

Inawezekana haya maoni yako ni makubwa kushinda uhalisia.

Wanawake mkijua kama mnapendwa mnasumbua isivyo kawaida, unaongea na bwana ako utadhani unaongea na binti mwenzio kibarazani.

Wanaume shit tupo, ni marafiki zenu, kaka zenu, wadogo zenu n.k. lakini huu ushit haujatokea tu bila chanzo. Na wanaume wanaotimiza ndoto za wasichana wapo pia, usiweke wote kwenye kapu moja.

Pia ukiandika acha aya.
Poa
 
Kuna dada alishawai kuniambia et angekuwa mwanaume angekuwa anawa*some text missing*mba.,kumbe wenyewe ndo chanzo afu wanatulaumu.


Si hajabu hata mimi kuna mdada, ni rafiki tu....aliwahi kuniambiaga kama angekuwa mwanamme, angewat.omba wasichana mpaka anawakinai, akikaribia kuoa anachagua msichana mwenye uwezo kuwa mke wake ili mwisho wa siku kama hana kazi anatumia hela za mwanamke. Hilo ni wazo la mwanamke na ni mzuri kinoma.
 
Si hajabu hata mimi kuna mdada, ni rafiki tu....aliwahi kuniambiaga kama angekuwa mwanamme, angewat.omba wasichana mpaka anawakinai, akikaribia kuoa anachagua msichana mwenye uwezo kuwa mke wake ili mwisho wa siku kama hana kazi anatumia hela za mwanamke. Hilo ni wazo la mwanamke na ni mzuri kinoma.


Hili wazo kila mwanamke huwa nalo pale mambo yanapomuendea Kombo
 
Wasalaam!
Kutokana Na malalamiko mengi mengi ya mahusiano Nimegundua ya kwamba matatizo mengi yanatokana Na wanaume.
Kwanza kabisa Ni kutojali kwao pia Na kuwachukulia wanawake kama vyombo vya starehe, kwamba anaweza akamchukua huyu, akamwacha. Hata kwa kosa Dogo, anatafuta sababu anaenda tongoza kwingine Na ahadi za ndoa fasta, Na mdada mgeni bila kujua akisikia ndoa anavua bila shida. Baadaye Tena anamwacha.A nafanya mchezo huu kisa aliumizwa nyuma.Makosa ya wengine yanahamishiwa kwa wanawake wengine.Wakipata mimba huyo huyo tena,anakuja kuanzisha thread kwamba ' masingle maza Sio'
Je wanawake wenzangu kifanyike kitu gani Na Je ukiwa.Na mpenzi hana matatizo ya Hapo juu ila hakujali kwa maana ya Huduma kisa unafanya kazi Na kwa kuwa humuombi pesa au Huduma yoyote Ndo kwanza anakusifia Eti ' you are a wife Material' Na wewe kwa kuwa unaogopa kubadilisha badilisha unakomaa Na shida zako maskini. Ivi akija tokea wa kukushika mkono atakuja lalamika kweli???
Mbona hawa wanaume wanajisahau sana?? Halafu wanaume wabahili wana Mawivuuu hatari.Eti nikuhudumie Mimi baba ako? Ndo maneno yao.Haya kama Ni hivyo.Msilalamike.
Narudia swali kwa wanawake wenzangu.Wanaume wa hivi Huwa mnawafanyaje?? Na Je kazi ya Mwanaume kwa mwanamke Ni nini hasa_????? Majibu.
Dada angu..Saula hili ni janga la dunia.kwa upande wangu mimi sipendi sana kugeneralize viti kama hivi.Kawa sababu hata sisi wanawake pia kuna wengine ni hatari.Nlishawahi kukutana na mwanamke anamnyanyasa mumewe hadi nikatamani anigawie mimi huyo kaka.Nachojaribu kusema ni kuwa sio wanaume wote na wala sio wanawake wote Shida ni moja wengi wanao oana hawaoani kwa kuwa wanapendana kwa dhati(na maanisha mapenzi hasa)siku hizi wanaume wanaoa eti kwa kuwa kakutana na wife material na sisi wanawake nao tunaolewa kwa kuwa fulani na fulani walisha olewa au kwa kuwa kuolewa ni lazima .Matokeo yake ndo hayo.Lakini kama ndoa zingekuwa kwa mtindo wa mapenzi ya dhati yote hayo yasingekuwepo.
Nini kifanyike,?Mimi na wewe na yule sasa tuanze kuwa tunawafundisha watoto wetu kuwa na mapenzi ya dhati,nina imani ukimfundisha wako na mimi nikamfundisha wangu wakija kukutana ..Swadakta!
 
Daah!! Nyie kinadada
Hivi hii kauli eti "wanatutumia kama chombo cha starehe" mnakuwa na maana gani hasa??
Hivi kwani nyinyi huwa hamustarehe katika ule mchezo??
Inamaana nyie kwenu ule mchezo ni karaha kwenu.???

Mnipe majibu hapa sio kila siku mnatulalamikia tu bila sababu wakati hiyo kitu imeumbwa kwa ajili ya kazi hiyo.
Huwa hatupati, kwahiyo muache kututumia.
 
Daah!! Nyie kinadada
Hivi hii kauli eti "wanatutumia kama chombo cha starehe" mnakuwa na maana gani hasa??
Hivi kwani nyinyi huwa hamustarehe katika ule mchezo??
Inamaana nyie kwenu ule mchezo ni karaha kwenu.???

Mnipe majibu hapa sio kila siku mnatulalamikia tu bila sababu wakati hiyo kitu imeumbwa kwa ajili ya kazi hiyo.
Ule mchezo ni mzuri kaka angu na haukuna raha kama ile duniani!
lakini Wanawake huwa hautuwazishi,yaani hautufikirishi!Na ndio maana ni rahisi kwa mwanamke kukaa mwaka mzima bila kuucheza na inaweza kuwa ngumu kwa mwanamume.Na kwa sababu hiyo mwanamke anaweza cheza mechi hata ishirini asifike,,Lakini mwanamume anaweza funga goli hata ndotoni. Ni nature tu mpendwa wangu.
 
Ni Ivi.Badala ya uwe Na mmoja mjenge familia Kimara Na kuvumiliana Wakati wa shida Na raha.Wewe unamjaza mimba, angali anarambaramva malimao Na kichefuchefu unatunga uongo' jeuri, ana kiburi, anaomba hela sana. N.k.Unamtelekeza unaenda kwa ' she' mwingine.Nako unatoa kasorooooo.Unawapitia kama 10 kwa mwaka.Hapa Ndo ' dhana ya ' kama chombo cha starehe!!!!! Why doing this to Innocent women?????
Nimekuelewa sana mamii!
 
Rubii..Umeona akiri za Hawa ndugu zetu? Wanakimbia majukumu.Na sisi akili ze mukichwa


Usijaliii
CYMERA_20170615_192716.jpg
 
But..Causative wa mateso mengi Ni Mwanaume.Ebu fanyeji kama forum ya Wanaume mjirekebishe.Mnawaliza sana wanawake.Hatukatai.Kuna makosa wadada, wamama wanatenda but fatiliaaaa chanzo.Ni ninyiiiii!
Wanaume wanakosa mafunzo ya namna ya kuishi,kumlea na kumuelewa mwanamke.Mi naamini sisi wanawake ni viumbe dhaifu sana mbele yenu kama tu wanaume mtafanya jitihada za dhati kutuelewa.
 
Usijali.Wangu muda huu hayupo kasafiri.Usihofu.Ila kwa nini mnatesa wanawakeeee! Enyi viumbe!!!!
Dada angu..Saula hili ni janga la dunia.kwa upande wangu mimi sipendi sana kugeneralize viti kama hivi.Kawa sababu hata sisi wanawake pia kuna wengine ni hatari.Nlishawahi kukutana na mwanamke anamnyanyasa mumewe hadi nikatamani anigawie mimi huyo kaka.Nachojaribu kusema ni kuwa sio wanaume wote na wala sio wanawake wote Shida ni moja wengi wanao oana hawaoani kwa kuwa wanapendana kwa dhati(na maanisha mapenzi hasa)siku hizi wanaume wanaoa eti kwa kuwa kakutana na wife material na sisi wanawake nao tunaolewa kwa kuwa fulani na fulani walisha olewa au kwa kuwa kuolewa ni lazima .Matokeo yake ndo hayo.Lakini kama ndoa zingekuwa kwa mtindo wa mapenzi ya dhati yote hayo yasingekuwepo.
Nini kifanyike,?Mimi na wewe na yule sasa tuanze kuwa tunawafundisha watoto wetu kuwa na mapenzi ya dhati,nina imani ukimfundisha wako na mimi nikamfundisha wangu wakija kukutana ..Swadakta!
Wewe dada kama umeolewa naamini ndoa yako itakuwa ya mfano wa kuigwa. Yaani kifupi upo vizuri "upstairs" na unajua maisha ya mahusiano yanavyotakiwa though huwezi kuwa perfect kwa 100% ila upo vizuri.

Mungu akusimamie vema na pia kama kuna kasoro au tatizo na mumeo "KAA NAE CHINI, MUONGEE KWA UTARATIBU MYAMALIZE", naamini hilo litafanya uwe mwanamke wa shoka zaidi na hubby wako atazidi kuwa proud of you forever.

Kumbe kuna wanaume wana bahati yakupata wanawake vichwa aiseee!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom