Dominique Strauss-Kahn (Former IMF boss) na BILL CLINTON na Kimwana MONICA wote walihusishwa na kashfa za ngono kwani wao ni wamatumbi au wapogoro???? mi kwanza sijaishi na wala siishi huko lakini hizi zilizomo zimo....je zinazofanywa na watu wa hali ya chini nani anazilipoti...tazama wachina na...
Nalia sana na PPF kwanza kwa kuwa wao wapo kisheria kama wao wangekuwa wanafuata misingi ya kazi yao hata mwanachama asingepata shida...so naona kwenye suala hili NILIE NA PPF wao ndio watajuana na huyo muajiri coz mi sitamani hata kwenda kwenye ofisi zao.
SAFI SANA...wewe ndio LA PROFESELI wa NGUVU hata ningekuwa mimi nisingepanda yaani nchi ilivyokuwa tajiri hivi afu mi waziri nipande kadaraja kawauza mitumba..------- nyie mnataka WAZIRI MUONGO afike anakokwenda akiwa amechoka nasikia ndege yenyewe viti vyake vimekaa kama vile vya CHAI...
Watanzania kwa uzinzi tu MUNGU katubariki...sasa lizee kama hili lingetulia kwenye ndoa yake hizi kashfa zingeanzia wapi...lakini mijitu mizima inataka kujichanganya na vibinti sasa hata watu wakikutegea ili wakupune hutatokea wapi?
Ni miezi takribani sita tangu nianche kazi mwa manufaa ya future yangu katika kampuni inayomilikiwa na mmoja wa wanasiasa ambae aliwaishika nyadhifa mbalimbali ndani ya chama na serikali hapa Tanzania..licha kutopewa stahili zangu nyingine toka katika kampuni hiyo nilishangazwa zaidi nilipoenda...
Hatuwezi kuwa na Rais asiyeweza kusimamia kile anachokiamini....mbona unaogopa kuwa muwazi utagombea kwa chama gani maana katiba ya sasa haina mgombea binafsi.
NINA SIFA ZOTE HIZO LAKINI MI NI MFUPI ZAIDI YA JOTI......ha ha ha ha wanawake bwana sasa urefu unakuongezea nini katika maisha yako...au unene wa mwanaume unapunguza jinsi ya yeye kukupende.Mapenzi ni moyo wa mtu si maumbile hizo ni tamaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.