Godwin Gondwe ndani ya SCOAN live!

Godwin Gondwe ndani ya SCOAN live!

Sasa Mungu mwenyewe huyo kama mpaka ufunge safari kumfuata Lagos sijui sie tusio na uwezo huo tutapokea fungu gani! Au ni Mungu wa wenye nazo tu?

Hapana ndugu,Mungu wetu ni mwingi wa rehema, anapatikana po pote,hata hapo ulipo yeye yupo pia.
Alichokifanya GG na watanzania wengine ni kutumia uwezo waliopewa na Mungu huyu wa maajabu,kuendelea kumtukuza kwa kufanya safari hadi Nigeria,
 
hata mm kuna ndugu zangu kabisa wameenda huko wapo wawili, muhimu ni kumtafuta BWana maadam anapatikana.
 
Mtu mwingine maarufu niliyemuona ni dada mmoja mtangazaji wa EATV simfahamu kwa jina.Inapendeza kuona bendera ya taifa lako ikionekana ktk tv inayofuatiliwa kuliko Channel yoyote ya Kikristo Duniani.
Ni maarufu wa nini huyo, wakati hata jina halijulikani?
 
msikae na kujadili kuonekana kwao LIVE...kuna ipya gani kuonekana live, au kuonekana kwenye hiyo tv ndo tayari umeupata ufalme wa mbinguni??


...kweli Tanzania tuna kila kitu isipokuwa watanzania...
 
Kuna mamia ya Watanzania wakiwa na bendera za taifa letu ndani ya kanisa la SCOAN huko Lagos Nigeria.Godwin Godwe pia yumo.

Tunategemea Mungu awasimamie ktk kile kilichowapeleka.Angalia Emanuel tv muone bendera za Tanzania zinavyopepea live ndani ya SCOAN.

check hapa www.emanuel.tv
Mission imekubali sio?
 
Back
Top Bottom