Mrumbi Nunda.
Member
- Nov 9, 2013
- 15
- 1
Ni miezi takribani sita tangu nianche kazi mwa manufaa ya future yangu katika kampuni inayomilikiwa na mmoja wa wanasiasa ambae aliwaishika nyadhifa mbalimbali ndani ya chama na serikali hapa Tanzania..licha kutopewa stahili zangu nyingine toka katika kampuni hiyo nilishangazwa zaidi nilipoenda kudai mafao yangu katika mfuko wa PPF ambao sheria ilinilazimishe nijiunge nao.
Majibu ninayo yapata toka kwa watu hawa wa PPF yananinyima matumaini ya kupata stahili zangu toka kwao ambao siku chache baada ya kuanza kazi walikuja kunishawishi nijiunge nao wakiniaminisha watakuwa mkombozi baada ya kazi yangu kufika ukingoni.
MIEZI SITA imepita sina dalili za kupata pesa zangu na kinachonishangaza kila nikienda eti naambiwa NENDA KWA MWAJIRI WAKO UKAMWAMBIE ALETE MICHANGO YAKO nawakafika mbali majuzi wakaniambia eti MWAJIRI WAKO NI MSUMBUFU inabidi UVUMILIE HADI ATAKAPOLETA MICHANGO YAKO.
Wadau naomba mnisaidie kwa stahili hii nifanyeje ili nipate haki yangu?na je sheria ya hii mifuko inamtaka mwanachama akamdai boss wake wa zamani michango yake?msaada tafadhali.
Majibu ninayo yapata toka kwa watu hawa wa PPF yananinyima matumaini ya kupata stahili zangu toka kwao ambao siku chache baada ya kuanza kazi walikuja kunishawishi nijiunge nao wakiniaminisha watakuwa mkombozi baada ya kazi yangu kufika ukingoni.
MIEZI SITA imepita sina dalili za kupata pesa zangu na kinachonishangaza kila nikienda eti naambiwa NENDA KWA MWAJIRI WAKO UKAMWAMBIE ALETE MICHANGO YAKO nawakafika mbali majuzi wakaniambia eti MWAJIRI WAKO NI MSUMBUFU inabidi UVUMILIE HADI ATAKAPOLETA MICHANGO YAKO.
Wadau naomba mnisaidie kwa stahili hii nifanyeje ili nipate haki yangu?na je sheria ya hii mifuko inamtaka mwanachama akamdai boss wake wa zamani michango yake?msaada tafadhali.