Bora umesema, Airtel Morogoro mjini mtandao hauna nguvu kabisa unasoma E.
Biashara ya mtandao inahitaji umakini na mtapoteza wateja wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
We uko mkoa gani ambako chooni hakuna Jaba la maji na kikombe huko?? Maana umenipa wakati mgumu kidogo kwenye hoja yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaaa natamani nicheke ila ukiona mtu mzima amechuchumaa ujue kaona aibu yupo uchi.
Mtasubiria sana watani maana hata barua yenu mliyopeleka FIFA sijui iliishia wapi??
Sent using Jamii Forums mobile app
Supplementary ni mdudu mbaya sana chuo kikuu aisee na hupaswi kudharau somo lolote hata liwe jepesi kiasi gani. Ds ndo soma kilaza kwa chuo ila huwa linakwamisha watu wengi sana kupata vyeti.
Ilikuwa ikifika kipindi cha mitihani napambana haswaaa na asante Mungu sijui maumivu hayo kabisa ila C...
Mashabiki wa simba siku hizi tunaogopa kuwatania maana mkitaniwa mnarudisha misaada mliyopewa na yanga. Hivyo kuwatania simba ni sawa na kuandaa makaburi kwa kutarijia umauti wa kila siku.
Tigopesa fc
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama mechi ya jumapili ni nyepesi na rahisi mbona unatumia nguvu nyingi sana kupanga kikosi?? Madhara ya kuingia na matokeo ni makubwa sana ikiwa ni pamoja na kutuharibia viti vyetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.