Safi sana Lara 1...Wanaume ni wajinga sana hasa waliooa., atakutajia matatizo kedekede ya mkewe kumbe mmama wa watu hana shida yoyote na hiyo yote ni ili apate anachokitaka,. Yaaahhh ni kumchuna vizuri abaki mweupe na kumuacha, hapo ndo anakuja kujua thamani ya mkewe,Kwel mapenz hamna ni usanii...
Ninavyojua hizo zimebase sana kwenye biashara na zinakuwa na faida zaidi kwa watu ambao wamesoma Busness adm, Accntcy tofauti na mtu ambaye degree yko ni Edctn, Embu mention hzo nyngne unazojua nijaribu kugoogle
Ningekuwa ni mim mwenyew ningekuwa na full details kwa ninaloenda kulifanya., so nisingehitaji ushauri, Kifupi ni Ubavu wangu wa pili anataka kufanya kitendo hcho.
Samahanini sana na sina uhakika kama hii topic inastahil kuwa jukwaa hili ila nimeweka huku sababu wataalam weng wa mambo most of time wapo available sana jukwaa hili
Back to topic, Hivi hii dhana ya kusema kwenda kusafisha nyota yako ili ufanikiwe katika mambo yako kama Kifedha, kikazi au hata...
Hiv kwa mtu anayeanza ajira ya ualimu kwa level ya degree anauwezo wa kuchukua mkopo benk baada ya mda gani na kiwango cha mwisho anachotakiwa kupewa mkopo ni sh ngap?Ukilinganisha na mshahara anaopata kwa level ya degree?
Mmmhhhhhh... Lait huyo mkeo tungempa nafasi na yey ajielezee nahis angesema meng sana unayomfanyia, wanawake tuna huruma sana na mpaka mtu akifikia hatua anakuonaona tu kam mtu na viugomvi bas ujue na wew unatatizo sema ndo hvyo wanaume mnapenda ubabe na kuonekana hamtendewi haki
Ur welcom., Wanaume ni kuishi nao kwa akili sana, mda mwingine me nawaonaga kama wanyama tu na roho zao za ajabu. Wew deal na mambo yako na fight uwe na maendeleo kias kwamba akikutana na wew atoe macho tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.