Kusafisha nyota

Kusafisha nyota

ndugu yangu usimsaidie shetani kuupoteza ulimwengu,huko nikwashetan kama unaona mambo ayaendi sawa nenda kwenye maombi mungu ni very honest yataisha haraka,by the way all such stuff people are doing if no repentence you must pay back to hell one day
 
cha' mimi namtegemea Yesu tu, Yeye aweza yote.
Kama we ni mfuasi wa Lucifer endelea huo ni ushauri, una maamzi ya kuchukua au kuuacha.

mkuu haujanipata vizuri.
Dunia yote ipo mikononi mwa huyo, sijasema ni tegemeo langu, ila atakaye ya dunia atapewa naye, si mpigii upatu ila ni jambo lililo wazi.
Yesu alikataa ofa ya fahari zote za dunia, toka kwake akaishi maisha ya kawaida.
Wewe kitabu chako kinasemaje?
 
Last edited by a moderator:
mmmmm nunueni au buking majeneza mapemA
 
nguvu za giza mafanikio lzm yaende na hasara jiandae kupoteza mmoja wa uwapendao ni weww mwenyewe hakuna mtu wa karibu wala nini

Ningekuwa ni mim mwenyew ningekuwa na full details kwa ninaloenda kulifanya., so nisingehitaji ushauri, Kifupi ni Ubavu wangu wa pili anataka kufanya kitendo hcho.
 
Nyota ndo mdudu ganii tena mmh jipotoshe tu wata omba mgongo huo mpaka basi yan ningekua mtalamu wanaopenda shortcut wange nikoma ni kuwapotosha mpaka basi
Etii na digital yote hi bado eti nidanganyikee nakwa waganga njaa Mmmmh subutuu?
 
dunia alipewa lucifer, ukihitaji vya duniani malaika wake wanakusafishia nyota mambo yako yanakuwa safi.
Kama unazijua kazi za malaika, zinaweza fanywa pia na hawa wa upande wa pili.

na dunia hii kwa sasa inaongozwa na ibilisi muove hata dini nyingi bandia ni sehemu ya huyo jamaa
 
na dunia hii kwa sasa inaongozwa na ibilisi muove hata dini nyingi bandia ni sehemu ya huyo jamaa

misimamo mingi ya dini zetu inatia shaka sana. Si ajabu kusikia mchungaji upako wake umepatikana baada ya kusafishwa nyota kwa mganga.
Suala la msingi ni kujenga msimamo imara kutokana na maagizo ya Muumba moja kwa moja.
 
Mkabidhi Yesu maisha yako.
Acha na ushetani huko utaishia kutoa kafara watu wako wa karibu au wewe mwenyewe.
 
Samahanini sana na sina uhakika kama hii topic inastahil kuwa jukwaa hili ila nimeweka huku sababu wataalam weng wa mambo most of time wapo available sana jukwaa hili
Back to topic, Hivi hii dhana ya kusema kwenda kusafisha nyota yako ili ufanikiwe katika mambo yako kama Kifedha, kikazi au hata kimapenzi inakuwaje? Na jee huko kwa mtaalamu anayekusafishia hyo nyota hamna mambo ya kafara yanaweza kufanyika?
Ni kitu kinaniumiza sana kichwa sababu anayehitaji kusafishiwa ni mtu wa karibu sana na nahofu kama kuna kafara mmoja wa familia akadhurika na kafara hiyo.
Please nisaidieni kwa mnaotambua juu ya hiyo kitu.
Kwa ufahamu wangu kuna watu wana nyota nzuri kali zenye nguvu kubwa na wengine wana nyota dhaifu na watu wengine wana mikosi, sasa ukienda kumlala mwenye nyota yake mbona kila ukifanyacho kitaenda utaaanza mpaka kuwatukana wenzako hawana mipango na ukimkuta mwenye nyota mbaya ama mikosi mbona utajuta kila kitu kinabuma unaweza hata kufa jamaa mkishalalana hapo hata uoge haibadili chochote
 
Kwa ufahamu wangu kuna watu wana nyota nzuri kali zenye nguvu kubwa na wengine wana nyota dhaifu na watu wengine wana mikosi, sasa ukienda kumlala mwenye nyota yake mbona kila ukifanyacho kitaenda utaaanza mpaka kuwatukana wenzako hawana mipango na ukimkuta mwenye nyota mbaya ama mikosi mbona utajuta kila kitu kinabuma unaweza hata kufa jamaa mkishalalana hapo hata uoge haibadili chochote
duh
 
Dunia ina wapigaji wengi sana. Usipo shirikisha halmashauri ya kichwa chako utaajikuta kila siku unaangukia pua.

Hakuna kitu kama mkosi au bahati. Ila jinsi unavyofanya mambo yako na mwenendo mzima wa maisha yako ndo husababisha uharibikiwe (Mikosi) au ufanikiwe (Bahati).

Watu ambao wanasemakana wana bahati hufanya mambo yao kwa umakini na ueledi. Kwa mfano kufanya utafiti mdogo wa mazingira kabla hajaanza biashara. Kuanza kidogo kidogo huku akisoma mchezo na kujifunza. Ila mtu ambaye anajiona mwenye mkosi atakurupuka tu na kuanzisha kitu bila kusoma ramani. Ataingiza hela nyingi kwenye biashara kwa mara ya kwanza na mtaji wote utaisha...atarudia hivyo kila akipewa mtaji unaisha. Akienda kufunga mzigo anakesha bara na wanawake..mtaji unakata.

Hivyo ndugu yangu..Jifumze kuwa makini...fanya mambo yako kwa ueledi..jielimishe kabla hujaanza kufanya kitu. Hakuna kitu kama mkosi..ila ni carelessness tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom