Recent content by mrembo wetu

  1. M

    Simu za mkononi zina mambo, Mimi nakerwa na hizi tabia, wewe je?

    Mtu anapiga simu anakosea namba bahati mbaya, unamwambia wrong number anaanza kukuuliza uko wapi? unafanya nini? tunaweza kuonana? Hawa watu wananiudhi balaa.
  2. M

    666-nyayo za kuzimü

    Uhondo unazidi kukolea
  3. M

    kukagua simu ya mpenzi wako ni vibaya

    Asubiri amkute nae kitandani ndo atajua kama ni mume wake au ndugu yake
  4. M

    666-nyayo za kuzimü

    Jaman wewee, endelea basi 👏
  5. M

    Siwapendi watu wa aina hii.

    wanaolala huku wameacha mdomo wazi, halaf mate yanadondokea kwenye shuka. ukiamka asubuh unakuta raman zisizoeleweka kwenye shuka.
  6. M

    Hodi hodi waungwana

    Mimi mgeni humu naomba kukaribishwa
Back
Top Bottom