kukagua simu ya mpenzi wako ni vibaya

kukagua simu ya mpenzi wako ni vibaya

surubu kwetu

Member
Joined
May 13, 2014
Posts
59
Reaction score
12
ndugu zangu nina mpenzi ninampenda sana tatizo langu na yeye ni mambo yake siku hizi simuelewi kabisa kabadilika kuliko mwanzo naweza kuwa nae chumbani anapigiwa simu na wanaume wengine wanaanza kuongea kimahaba ukimuliza anasema ndugu yake juzi tulikuwa nae tumelala akapigiwa simu kuangalia simu yake jina limeandikwa mume wangu nilimuuliza akasema waliachanae je inawezekana mpenzi mumeachana ukabaki umemsave mume wangu au ndo mtu wake anayemkubali kuliko mimi
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Pole weye waibiwa hapo,kusoma hujui hata picha inakushinda??!!!!!
 
Nilisikia dalil za kwanza za dengue ni kutokuwa na wivu
 
(Tusi...) Acha ulofa wewe, ungekuwa jirani ningekukata ngumi ya sikio
 
ndugu zangu nina mpenzi ninampenda sana tatizo langu na yeye ni mambo yake siku hizi simuelewi kabisa kabadilika kuliko mwanzo naweza kuwa nae chumbani anapigiwa simu na wanaume wengine wanaanza kuongea kimahaba ukimuliza anasema ndugu yake juzi tulikuwa nae tumelala akapigiwa simu kuangalia simu yake jina limeandikwa mume wangu nilimuuliza akasema waliachanae je inawezekana mpenzi mumeachana ukabaki umemsave mume wangu au ndo mtu wake anayemkubali kuliko mimi

Kicheche hicho ndugu yangu chapa lapa
 
kichwa cha habari tofauti na habari yenyewe, ila na wewe ni bure ya ghali yaani na simu bado anayo haijawa vipande vipende na cheep kutafunwa!!! hebu kaoge huko!
 
Umesema wewe ni mpenzi wake?
Uliza tu namba yako ni ngapi katika list ya alionao
 
Back
Top Bottom