Siwapendi watu wa aina hii.

Siwapendi watu wa aina hii.

mtu amabe haflash choo inaboa unakuta choon kuna maji
laki anatoka hivo hivo kaacha mitoilet paper juu arghh
 
mtu amabe haflash choo inaboa unakuta choon kuna maji
laki anatoka hivo hivo kaacha mitoilet paper juu arghh
yaani anaboaje! sielewi akirudi mara ya pili huko chooni na akakuta uchafu huo, huwa anafanyaje!!!!
 
Siwapendi watu wanaojiona matendo yao ndo bora kupita ya wengine! Wanaojiona wao ni bora kupita wengine!
 
simpendi mtu mwenye tabia hizo, ushawahi kuona tabia zikajitokeza bila mtu kuwepo, anayefanya hivyo ni mtu na wala tabia hazikai juu ya mti, ni mtu anaamua ngoja niteme mate, kwa hiyo wewe una maanisha mtu akikojoa barabarani
utampenda ila utachukia tabia zake(kivipi hapo?)

Ni vipi kama ni mama yako mzazi anafanya mojawapo ya hizo tabia??!
Utamchukia mama??
Au ile tabia yake.

I think tunachukia tabia bhana.
Na ni vitu vidogo vidogo vinavyobadilishika.

Unaweza mchukia mtu kwa ufupi wake, wembamba wake, weusi wake na kadhalika.

Lakini tunachukia tabia za kucheua hovyo, kubanja, na mengine yametajwa.
 
wanaolala huku wameacha mdomo wazi, halaf mate yanadondokea kwenye shuka. ukiamka asubuh unakuta raman zisizoeleweka kwenye shuka.
 
wanaolala huku wameacha mdomo wazi, halaf mate yanadondokea kwenye shuka. ukiamka asubuh unakuta raman zisizoeleweka kwenye shuka.

haaaa haaaa haaaa. Mi naona kama hii ni un-controllable, labda kitaalam sijui inakuwaje, hata mi sipendi ila naona kama wanashindwa kujicontrol, ila watu wa aina hiyo hapo juu wanaweza wengine wanajiendekeza tu
 
Ni vipi kama ni mama yako mzazi anafanya mojawapo ya hizo tabia??!
Utamchukia mama??
Au ile tabia yake.

I think tunachukia tabia bhana.
Na ni vitu vidogo vidogo vinavyobadilishika.

Unaweza mchukia mtu kwa ufupi wake, wembamba wake, weusi wake na kadhalika.

Lakini tunachukia tabia za kucheua hovyo, kubanja, na mengine yametajwa.
hizi tabia mtu anaweza kubadilika akiamua, sasa kubanja si ni mtu anaumwa, wembamba, unene, weusi au weupe si ni asili
 
umesahau wanaopangusa majasho kwa kidole na kuyarusha ovyo.
 
Umesahau wanaotoa harufu mbaya mdomoni. Sijui hua wanasahau mswaki?
 
Mtu anakula nyama saa sita,anajitoboa toboa na toothpic kila aendapo,mi wananikera watu wa hivi!
 
Watu wanaotuachia matiti yao wazi, watu wanao tuachia mapaja wazi
 
Kuna mwingine anakua anamafua yale yasio isha basi anatumia mikono kujifuta puani then anafuta kwenye viganja vyake alafu akikuo hata hajali anakusalimia kwa mkono tena au anashika simu yako. Mhhh! Inaboa sana.
 
watu wanaokaa kwenye siti pembeni yako anajitanua miguu kama wanabusha.
 
Kiustaharabu inakera sana wengine sink la kuoshea vyombo wanasukutua halafu wanatemea mate hapo, aisee
 
Sasa kama hupendi mbona unavyo vyote,kamasi unalo,nyaa ndio usiseme,mikoozi..
Nilifikiri hupendi kuona vitu ambavyo huna teh teh teh...
 
Kaishi kwenye Nchi yako mwenyewe. Halafu we binti sijui una matatizo gani? Yan kila kitu hupendi.
 
na wanaokojoa popote pale hasa wanaume, hata nyuma ya gari yaani mtu anakojoa tu jamani unaondoa utu wako kiasi hicho, hatuna ustaarabu!!!!

ahsanteee tunaomba utujuze na aina ya mjojoliko.
 
Back
Top Bottom