Recent content by Mremaaa

  1. Mremaaa

    Wanawake michosho kweli jamani

    Mwache, usimjibu ikiwezekana tia block
  2. Mremaaa

    Nimempenda teller wa benki fulani

    Imefuatwa Pochi hapo
  3. Mremaaa

    Ninampenda sana!

    Andika vizuri kwanza 0 na o hazijawahi kuwa na maana Sawa, ni kama vile yai na kitunguuu au nyanya
  4. Mremaaa

    Nesi akiri alivyomhanithi mumewe na kumuua polepole kwa dawa ya macho

    Comrade unaandika aise Big up sana nimejifunza vingi hapa
  5. Mremaaa

    Mchepuko anachanganya mapenzi na pesa, nilichomfanyia nadhani kapata funzo

    Big up hujatuangusha, na umeenda Sawa na makubaliano ya kile kikao chetu cha mwisho
  6. Mremaaa

    Nipo njiani naenda kutambulishwa ukweni

    Jiandae kuwa chakula ya wote kama ana Dada zake au wadogo zake wa kike, hawana shida wanagawana upendo. Tena anakwambia msaidie ndugu yangu ana hamu, makabila mengine raha sana
  7. Mremaaa

    Amenimwagia chai baada ya kusema nikifa upigwe wimbo wa hustling wa Rick Ross na ule wa I love you wa Celine

    Umezingua yaani ndo maana ukamwagiwa chai, huwezi kuongelea issue za kufa wakati mwenzio mjamzito, ulikuwa unapeleka ujumbe gani? Mkuu jitahidi kukomaa unaonekana bado una utoto.
  8. Mremaaa

    Natafuta mume

    Mkuu Sema zaidi kuhusu wewe, dini, unapenda nini hupendi nini na je upo tayari kuishi na mwanaume ukamheshimu na kumsikiliza ili yeye akupende kama maandiko yanavyotaka? Ndoa ni mambo mengi lazima uainishe, sisemi vigezo ila taswira ya maisha ya ndoa unayoyahitaji
  9. Mremaaa

    Naelekea Shinyanga mjini kesho, naombeni sehemu ya bata na watoto wazuri

    Kitimito na Bia 1. Addonvila (The Giant) 2. Lubaga IN 3.Tanganyika 4.Mhela 5. Fortune Ibada. Kanisa la mama mwenye Huruma Ngokolo.
  10. Mremaaa

    Huyu mwanamke Pasua kichwa nakabiliana naye vipi?

    Mwizi huyo Nenda Police
  11. Mremaaa

    Simuelewi anataka nini

    Endelea ku move on huyu atakuja akupige tukio kubwa hutasahau, hamna mwanamke hapo.
  12. Mremaaa

    Nifanye nini ili nisimkumbuke? Ananiumiza sana

    Move on, hamna mahusiano hapo, wala future hakuna hapo huyo ana interest zake kwako. Atakuja akulize vibaya sana. Jiweke busy, pata Kampany nzuri, jichanganye ili usahau. Usianzishe mahusiano mengine kwa sasa upate muda upone na upumue upate mtu sahihi. Pole sana
Back
Top Bottom