Nifanye nini ili nisimkumbuke? Ananiumiza sana

Mapenzi kuna mda yanahitaji ujasiri yaani hutakiwi kusikiliza moyo, umependa kiasi gani au ulijitolea kiasi gani kila kitu kinatokea kwa sababu amini kinachokuja ni bora mbele yako kuliko kile ulichokipoteza.
 
Habari zenu wana jukwaa wa JF, nombeni ushauri jamani, nifanyaje nimsahau huyu mwanaume?

Nilikuwa kwenye mahusian na kaka mmoja jina sitomtaja tangu mwaka 2018, tumedumu vizurii kabisa toka kipindi hicho tupo chuo mpaka tukamaliza. Baada ya kumaliza chuo kila mtu akaenda mkoani kwakwe japo mawasiliano yalikua vizuri kabisa, nauli natumiwa naenda kwake mpaka ikafika kipindi nikapata kazi mkoa aliyopo yeye.

Tukashukuru Mungu, maana mahusiano yetu yalizidi kuimarika kadri siku zinavyoenda. Kipindi hicho yeye anahangaika na biashara zake kuna muda anafilisika (mtaji unakufa), mimi natoa nusu ya mshahara wangu aongezee ili aendelee na biashara.

Tatizo likaja kipindi mambo yake yamemnyookea, akabadilika gafla akawa mtu wa wanawake sana, yaani sijui hata hiyo tabia aliitolea wapi?! Tena ikawa siyo kujificha ni waziwazi. Mara unamfumania anaomba msamaha anabadilika hata mwez mmoja lakini anarudia tabia ileile!

Mwaka huu ilikuwa tarehe 24 mwezi wa kwanza, ilitokea kutoelewana naye baada ya mimi kuwa namfatilia kwanini anakuwa ananisaliti. Hapo ndiyo alinambia mimi na wewe basi, fanya mambo yako songa mbele sikuhitaji tena kwenye maisha yangu! nikiuliza sababu ni nini ananiambia tatizo lako unanifatilia sana na unasikiliza maneno ya watu wanakudanganya kuwa mimi naingiza wanawake huku ndani kwangu.

Nikasema sawa, kama kukuuliza ni shida basi naomba unisamehe kwasababu nakupenda sana, lakini akakataa. Nikaumia, nikalia na nikazoea nikaendelea na maisha mengine.

Ilivyofika mwezi wa tano akaanza kunitafuta akidai turudiane, nikawa na wasiwasi naye lakini ilivyofika tarehe 27 mwezi wa saba nikamsamehe nikarudiana naye, tukaendelea na mahusiano. Ahadi nyingi, nikawa nafurahia mahusiano lakini cha kushangaza mwezi huu tarehe 5 akabadilika gafla.

Mawasiliano ni mchana tu akiwa kazini, usiku hapokei simu wala hajibu ujumbe na muda mwingine nalimwa 'block'. Ilivofika tarehe 8 akanambia kunamwanamke mwingine ameenda kwakwe na amekataa kuondoka hivyo mimi nisijaribu kwenda kwake, na nikienda tu yeye atahama hapo anapoishi au mkoa kabisa atahama, na nikijaribu tu hiyo ndiyo itakuwa tiketi ya mimi na yeye kuachana.

Aisee ndugu zanguni, mpaka leo nashindwa kuzoea! Nimelazwa hospitali na dripu za maji juu lakini nashindwa kumsahau.

Naomba mnisaidie namna ya kumsahau.
Dawa ya moto ni moto... Anzisha mahusiano mengine... Duniani tumekuja kufurah... Usiumize kichwa take easy tu...
 
Pole, ila ni kama umeyataka, mwanaume alikuacha anarudi mara ya pili, unampokea. Ulijua yatadumu?
Hapo alikosa mbususu In mzabzab voice...

Pili unatoaje hela yako ya mshahara, na kumpa boyfriend? Siyo mume huyo. Na unasema sasa unashindwa hadi kufanya kazi!!!! Jua kazi ndiyo mume wako sasa...
Mtoe akilini, fanya vitu unavyopenda na vinavyokupa furaha, maumivu ni ya muda na yataisha na utamsahau, utajiuliza ulimpendea nini?
Yaani huyu ni wale ngoja nimsamehe atarekebishika kumbe unapigwa tukio kubwa kuliko
 
Pole kipenz lakini yatakwisha kabisaa amini nakwambia. Nilidate na mtu tangu nikiwa 21 had nilipofika 28 akanifanyia ujinga mnooo hakuna rangi sikuona nikimkuta Hana hata kumi had akafanikiwa kupata Hela nyingi ndo akaanza nidharau, lakini niliamua kumuacha Ili nipate amani, nikitumia mnooo lakini nikapona kabisaaa tangu 2018 had sahz Wala sikumbuki tena.

Lia wakati huu lakini itafika wakati utapona kabisaa na kumsahau. Futa documents zake zote kama picha futa nguo choma moto mashemeji wote futa na uwablock wasikupe habari yoyote inayomhusu.

Uonee huruma moyo wako kwa kuumiza na mawazo mengi, pumzika jipe mda wa kutoka na marafiki. Lakini sio arudi tena umkubali maana atakuumuza tena. Hilo ñalo litapita muda ni tiba tosha.
 
Mchape block na kata mawasiliano. Najua ni ngumu sana na almost impossible hasa katika kipindi hiki ila ndio only way.
 
Habari zenu wana jukwaa wa JF, nombeni ushauri jamani, nifanyaje nimsahau huyu mwanaume?

Nilikuwa kwenye mahusian na kaka mmoja jina sitomtaja tangu mwaka 2018, tumedumu vizurii kabisa toka kipindi hicho tupo chuo mpaka tukamaliza. Baada ya kumaliza chuo kila mtu akaenda mkoani kwakwe japo mawasiliano yalikua vizuri kabisa, nauli natumiwa naenda kwake mpaka ikafika kipindi nikapata kazi mkoa aliyopo yeye.

Tukashukuru Mungu, maana mahusiano yetu yalizidi kuimarika kadri siku zinavyoenda. Kipindi hicho yeye anahangaika na biashara zake kuna muda anafilisika (mtaji unakufa), mimi natoa nusu ya mshahara wangu aongezee ili aendelee na biashara.

Tatizo likaja kipindi mambo yake yamemnyookea, akabadilika gafla akawa mtu wa wanawake sana, yaani sijui hata hiyo tabia aliitolea wapi?! Tena ikawa siyo kujificha ni waziwazi. Mara unamfumania anaomba msamaha anabadilika hata mwez mmoja lakini anarudia tabia ileile!

Mwaka huu ilikuwa tarehe 24 mwezi wa kwanza, ilitokea kutoelewana naye baada ya mimi kuwa namfatilia kwanini anakuwa ananisaliti. Hapo ndiyo alinambia mimi na wewe basi, fanya mambo yako songa mbele sikuhitaji tena kwenye maisha yangu! nikiuliza sababu ni nini ananiambia tatizo lako unanifatilia sana na unasikiliza maneno ya watu wanakudanganya kuwa mimi naingiza wanawake huku ndani kwangu.

Nikasema sawa, kama kukuuliza ni shida basi naomba unisamehe kwasababu nakupenda sana, lakini akakataa. Nikaumia, nikalia na nikazoea nikaendelea na maisha mengine.

Ilivyofika mwezi wa tano akaanza kunitafuta akidai turudiane, nikawa na wasiwasi naye lakini ilivyofika tarehe 27 mwezi wa saba nikamsamehe nikarudiana naye, tukaendelea na mahusiano. Ahadi nyingi, nikawa nafurahia mahusiano lakini cha kushangaza mwezi huu tarehe 5 akabadilika gafla.

Mawasiliano ni mchana tu akiwa kazini, usiku hapokei simu wala hajibu ujumbe na muda mwingine nalimwa 'block'. Ilivofika tarehe 8 akanambia kunamwanamke mwingine ameenda kwakwe na amekataa kuondoka hivyo mimi nisijaribu kwenda kwake, na nikienda tu yeye atahama hapo anapoishi au mkoa kabisa atahama, na nikijaribu tu hiyo ndiyo itakuwa tiketi ya mimi na yeye kuachana.

Aisee ndugu zanguni, mpaka leo nashindwa kuzoea! Nimelazwa hospitali na dripu za maji juu lakini nashindwa kumsahau.

Naomba mnisaidie namna ya kumsahau.
Move on, hamna mahusiano hapo, wala future hakuna hapo huyo ana interest zake kwako. Atakuja akulize vibaya sana. Jiweke busy, pata Kampany nzuri, jichanganye ili usahau. Usianzishe mahusiano mengine kwa sasa upate muda upone na upumue upate mtu sahihi.

Pole sana
 
Dada futa kila kitu chake kwenye simu na nyumbani kuanzia sms, picha hata nyimbo, choma nguo zake na vitu vyake vinavyokupa memory kila ukiviona na unfollow him ikibidi futa namba zake.

Kubali tu hukuwa wake mwanaume huwa anatulia anapopenda na Huyo sio wewe, jisogeze Kwa Mungu fanya toba, funga Kwa imani yako mlilie Mungu Kisha toa sadaka ya shukrani Kwa yote Mungu aliyokutendea, jichanganye na marafiki wenye positive minds jitoe uonekane pendeza dada.

Mwisho muda huponya utasahau na utacheka sana.
 
Basi awe makini sana sababu najua kwa sasa ni mpweke, huo upweke unaweza kumfanya akawa na mtu ilimradi tu kumbe kabugi mara mbili.
Hapo sawa... Ila na yeye aache uzembe... Ndio kupenda gani huko.... Au kaanza mapenz juzi..
 
Piga chini huyo anacheza na hisia zako, halafu muda unasonga ukitarajia atabadilika kumbe hola, ukijakushtuka umri umeenda na uko kwenye mahusiano yasiyo na amani, cha kujitesa huko ni nini, furahia wakati ulio nawo, mapenzi kizunguzungu.
 
Habari zenu wana jukwaa wa JF, nombeni ushauri jamani, nifanyaje nimsahau huyu mwanaume?

Nilikuwa kwenye mahusian na kaka mmoja jina sitomtaja tangu mwaka 2018, tumedumu vizurii kabisa toka kipindi hicho tupo chuo mpaka tukamaliza. Baada ya kumaliza chuo kila mtu akaenda mkoani kwakwe japo mawasiliano yalikua vizuri kabisa, nauli natumiwa naenda kwake mpaka ikafika kipindi nikapata kazi mkoa aliyopo yeye.

Tukashukuru Mungu, maana mahusiano yetu yalizidi kuimarika kadri siku zinavyoenda. Kipindi hicho yeye anahangaika na biashara zake kuna muda anafilisika (mtaji unakufa), mimi natoa nusu ya mshahara wangu aongezee ili aendelee na biashara.

Tatizo likaja kipindi mambo yake yamemnyookea, akabadilika gafla akawa mtu wa wanawake sana, yaani sijui hata hiyo tabia aliitolea wapi?! Tena ikawa siyo kujificha ni waziwazi. Mara unamfumania anaomba msamaha anabadilika hata mwez mmoja lakini anarudia tabia ileile!

Mwaka huu ilikuwa tarehe 24 mwezi wa kwanza, ilitokea kutoelewana naye baada ya mimi kuwa namfatilia kwanini anakuwa ananisaliti. Hapo ndiyo alinambia mimi na wewe basi, fanya mambo yako songa mbele sikuhitaji tena kwenye maisha yangu! nikiuliza sababu ni nini ananiambia tatizo lako unanifatilia sana na unasikiliza maneno ya watu wanakudanganya kuwa mimi naingiza wanawake huku ndani kwangu.

Nikasema sawa, kama kukuuliza ni shida basi naomba unisamehe kwasababu nakupenda sana, lakini akakataa. Nikaumia, nikalia na nikazoea nikaendelea na maisha mengine.

Ilivyofika mwezi wa tano akaanza kunitafuta akidai turudiane, nikawa na wasiwasi naye lakini ilivyofika tarehe 27 mwezi wa saba nikamsamehe nikarudiana naye, tukaendelea na mahusiano. Ahadi nyingi, nikawa nafurahia mahusiano lakini cha kushangaza mwezi huu tarehe 5 akabadilika gafla.

Mawasiliano ni mchana tu akiwa kazini, usiku hapokei simu wala hajibu ujumbe na muda mwingine nalimwa 'block'. Ilivofika tarehe 8 akanambia kunamwanamke mwingine ameenda kwakwe na amekataa kuondoka hivyo mimi nisijaribu kwenda kwake, na nikienda tu yeye atahama hapo anapoishi au mkoa kabisa atahama, na nikijaribu tu hiyo ndiyo itakuwa tiketi ya mimi na yeye kuachana.

Aisee ndugu zanguni, mpaka leo nashindwa kuzoea! Nimelazwa hospitali na dripu za maji juu lakini nashindwa kumsahau.

Naomba mnisaidie namna ya kumsahau.
Nashukuru tokea nizaliwe sijawahi pendwa na mwanamke yeyote so technically sijawah kumtesa mwanamke yeyote
 
Back
Top Bottom