Nimempenda teller wa benki fulani

Nimempenda teller wa benki fulani

2070534586.jpg
 
Nliingia bank flan hapa Mwanza nlienda ku-withdraw pesa nyingi sana kwenye account yangu, Teller baada ya kuona kiwango cha pesa nnachotaka kutoa na umri wangu alishang’aa sana then akaanza maswali ya kizushi ā€˜ mara una miaka mingap mara unaishi wapi umeoa? unafanya biashara gani, majibu yote nliyomjibu nlimdanganya.

Alifanya kazi yake iliyompeleka Bank then mwisho akanipa namba yake bira kumuomba then akasema ā€œmake sure unanicheck online plzā€ nkakubari then nkachukua mzigo nikaondoka, Baada ya siku 5 nikamcheck alifrahi sana.

Aliniomba tuwe marafiki tuwe tunatoka ote kwenda viwanja kunywa na kula BBQ ,kila kitu kilienda vizuri, kadri siku zilivozidi kwenda yule mdada alikua akionyesha kunipenda sana japo mim nlkua sijionyeshi kuwa nina pesa lakn yeye alkua anakuja mzima mzima, tukitoka analipia bills zote na usafiri,.

Dhumuni la uzi huu ni kwamba kadri sku zinavozidi kwenda naanza kumpenda kwel kwel, mpaka nafikia hatua nahisi kama amefanya sayansi fran ili kuniteka hakiri yangu, najikuta namfikilia yeye tu muda wote.

Juzi nimemtokea nmemuelezea hisia zangu kwake akawa kama hanielewi, nkikausha nisipomtafta yeye ndo wa Kwanza kunitafta kila siku.

Naombeni ushauri, nikate tamaa kutongoza ama niendelee kupambana mpaka nimpate ama ndo hanipendi ananichezea hakili tu?
Utakuja kupigwa tukio hautaamin, hela zake zote atalipa na faida nyng sana
 
Tukiacha criticism hivi story kama hii haiwezekani kuwa kweli?

Tunasafari refu kama vijana,ukweli wa mtu anao mwenywe,sisi

tujibu swali,tushauri alichoomba Mengine atajua na Mungu wake

Acheni wazee kuna raia wana hela na hawawezi andika,achana na

hawa wachanganya R na L kuna wajomba hata andika hawawezi,ila n wamoto.
 
Nliingia bank flan hapa Mwanza nlienda ku-withdraw pesa nyingi sana kwenye account yangu, Teller baada ya kuona kiwango cha pesa nnachotaka kutoa na umri wangu alishang’aa sana then akaanza maswali ya kizushi ā€˜ mara una miaka mingap mara unaishi wapi umeoa? unafanya biashara gani, majibu yote nliyomjibu nlimdanganya.

Alifanya kazi yake iliyompeleka Bank then mwisho akanipa namba yake bira kumuomba then akasema ā€œmake sure unanicheck online plzā€ nkakubari then nkachukua mzigo nikaondoka, Baada ya siku 5 nikamcheck alifrahi sana.

Aliniomba tuwe marafiki tuwe tunatoka ote kwenda viwanja kunywa na kula BBQ ,kila kitu kilienda vizuri, kadri siku zilivozidi kwenda yule mdada alikua akionyesha kunipenda sana japo mim nlkua sijionyeshi kuwa nina pesa lakn yeye alkua anakuja mzima mzima, tukitoka analipia bills zote na usafiri,.

Dhumuni la uzi huu ni kwamba kadri sku zinavozidi kwenda naanza kumpenda kwel kwel, mpaka nafikia hatua nahisi kama amefanya sayansi fran ili kuniteka hakiri yangu, najikuta namfikilia yeye tu muda wote.

Juzi nimemtokea nmemuelezea hisia zangu kwake akawa kama hanielewi, nkikausha nisipomtafta yeye ndo wa Kwanza kunitafta kila siku.

Naombeni ushauri, nikate tamaa kutongoza ama niendelee kupambana mpaka nimpate ama ndo hanipendi ananichezea hakili tu?
Hakuna kitu hapo babu bili ulipe ww Alf uturushe umelipiwa hayupoo Dem wa hvyo yaan hapo imependwa pesa sio ww na komwe lako kaka kimbia bobu hao viumbe sio utapigwa teke la vandame
 
Nliingia bank flan hapa Mwanza nlienda ku-withdraw pesa nyingi sana kwenye account yangu, Teller baada ya kuona kiwango cha pesa nnachotaka kutoa na umri wangu alishang’aa sana then akaanza maswali ya kizushi ā€˜ mara una miaka mingap mara unaishi wapi umeoa? unafanya biashara gani, majibu yote nliyomjibu nlimdanganya.

Alifanya kazi yake iliyompeleka Bank then mwisho akanipa namba yake bira kumuomba then akasema ā€œmake sure unanicheck online plzā€ nkakubari then nkachukua mzigo nikaondoka, Baada ya siku 5 nikamcheck alifrahi sana.

Aliniomba tuwe marafiki tuwe tunatoka ote kwenda viwanja kunywa na kula BBQ ,kila kitu kilienda vizuri, kadri siku zilivozidi kwenda yule mdada alikua akionyesha kunipenda sana japo mim nlkua sijionyeshi kuwa nina pesa lakn yeye alkua anakuja mzima mzima, tukitoka analipia bills zote na usafiri,.

Dhumuni la uzi huu ni kwamba kadri sku zinavozidi kwenda naanza kumpenda kwel kwel, mpaka nafikia hatua nahisi kama amefanya sayansi fran ili kuniteka hakiri yangu, najikuta namfikilia yeye tu muda wote.

Juzi nimemtokea nmemuelezea hisia zangu kwake akawa kama hanielewi, nkikausha nisipomtafta yeye ndo wa Kwanza kunitafta kila siku.

Naombeni ushauri, nikate tamaa kutongoza ama niendelee kupambana mpaka nimpate ama ndo hanipendi ananichezea hakili tu?
acha utoto, pesa nyingi sana ni kiasi gani. Huna hata akaunti benki nyau we
 
Endeleeni kutoka kuna siku mtajikuta mmekulana kimasihara,tafuta kambunye kakupoza kapembeni hakikisha unapotoka kwake unaenda kupoza
 
Nliingia bank flan hapa Mwanza nlienda ku-withdraw pesa nyingi sana kwenye account yangu, Teller baada ya kuona kiwango cha pesa nnachotaka kutoa na umri wangu alishang’aa sana then akaanza maswali ya kizushi ā€˜ mara una miaka mingap mara unaishi wapi umeoa? unafanya biashara gani, majibu yote nliyomjibu nlimdanganya.

Alifanya kazi yake iliyompeleka Bank then mwisho akanipa namba yake bira kumuomba then akasema ā€œmake sure unanicheck online plzā€ nkakubari then nkachukua mzigo nikaondoka, Baada ya siku 5 nikamcheck alifrahi sana.

Aliniomba tuwe marafiki tuwe tunatoka ote kwenda viwanja kunywa na kula BBQ ,kila kitu kilienda vizuri, kadri siku zilivozidi kwenda yule mdada alikua akionyesha kunipenda sana japo mim nlkua sijionyeshi kuwa nina pesa lakn yeye alkua anakuja mzima mzima, tukitoka analipia bills zote na usafiri,.

Dhumuni la uzi huu ni kwamba kadri sku zinavozidi kwenda naanza kumpenda kwel kwel, mpaka nafikia hatua nahisi kama amefanya sayansi fran ili kuniteka hakiri yangu, najikuta namfikilia yeye tu muda wote.

Juzi nimemtokea nmemuelezea hisia zangu kwake akawa kama hanielewi, nkikausha nisipomtafta yeye ndo wa Kwanza kunitafta kila siku.

Naombeni ushauri, nikate tamaa kutongoza ama niendelee kupambana mpaka nimpate ama ndo hanipendi ananichezea hakili tu?
Imefuatwa Pochi hapo
 
Daaah mtoa mada sijui anatuchukuliaje?
Enewei sukari haitoshi mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom