Hii chai au togwa? š¤£š¤£
Ila askari sura zao.
chai ya maziwa....Hii chai au togwa? š¤£š¤£
Utakuja kupigwa tukio hautaamin, hela zake zote atalipa na faida nyng sanaNliingia bank flan hapa Mwanza nlienda ku-withdraw pesa nyingi sana kwenye account yangu, Teller baada ya kuona kiwango cha pesa nnachotaka kutoa na umri wangu alishangāaa sana then akaanza maswali ya kizushi ā mara una miaka mingap mara unaishi wapi umeoa? unafanya biashara gani, majibu yote nliyomjibu nlimdanganya.
Alifanya kazi yake iliyompeleka Bank then mwisho akanipa namba yake bira kumuomba then akasema āmake sure unanicheck online plzā nkakubari then nkachukua mzigo nikaondoka, Baada ya siku 5 nikamcheck alifrahi sana.
Aliniomba tuwe marafiki tuwe tunatoka ote kwenda viwanja kunywa na kula BBQ,kila kitu kilienda vizuri, kadri siku zilivozidi kwenda yule mdada alikua akionyesha kunipenda sana japo mim nlkua sijionyeshi kuwa nina pesa lakn yeye alkua anakuja mzima mzima, tukitoka analipia bills zote na usafiri,.
Dhumuni la uzi huu ni kwamba kadri sku zinavozidi kwenda naanza kumpenda kwel kwel, mpaka nafikia hatua nahisi kama amefanya sayansi fran ili kuniteka hakiri yangu, najikuta namfikilia yeye tu muda wote.
Juzi nimemtokea nmemuelezea hisia zangu kwake akawa kama hanielewi, nkikausha nisipomtafta yeye ndo wa Kwanza kunitafta kila siku.
Naombeni ushauri, nikate tamaa kutongoza ama niendelee kupambana mpaka nimpate ama ndo hanipendi ananichezea hakili tu?
Hii lazima ya msibani au harusini maana nyingi knm.chai ya maziwa....
ya kijiweni šHii lazima ya msibani au harusini maana nyingi knm.
Kiduku ni bilionea kweliMbona Kiduku alikuwa hashambuliwi? Ukileta uongo upangilie vizuri, hakuna mtu mwenye akili timamu anayependa kudanganywa, yani unatufanya humu kama ni Watoto wenzako.
Siyo Billionaire ni flow yake tu.Kiduku ni bilionea kweli
Hakuna kitu hapo babu bili ulipe ww Alf uturushe umelipiwa hayupoo Dem wa hvyo yaan hapo imependwa pesa sio ww na komwe lako kaka kimbia bobu hao viumbe sio utapigwa teke la vandameNliingia bank flan hapa Mwanza nlienda ku-withdraw pesa nyingi sana kwenye account yangu, Teller baada ya kuona kiwango cha pesa nnachotaka kutoa na umri wangu alishangāaa sana then akaanza maswali ya kizushi ā mara una miaka mingap mara unaishi wapi umeoa? unafanya biashara gani, majibu yote nliyomjibu nlimdanganya.
Alifanya kazi yake iliyompeleka Bank then mwisho akanipa namba yake bira kumuomba then akasema āmake sure unanicheck online plzā nkakubari then nkachukua mzigo nikaondoka, Baada ya siku 5 nikamcheck alifrahi sana.
Aliniomba tuwe marafiki tuwe tunatoka ote kwenda viwanja kunywa na kula BBQ,kila kitu kilienda vizuri, kadri siku zilivozidi kwenda yule mdada alikua akionyesha kunipenda sana japo mim nlkua sijionyeshi kuwa nina pesa lakn yeye alkua anakuja mzima mzima, tukitoka analipia bills zote na usafiri,.
Dhumuni la uzi huu ni kwamba kadri sku zinavozidi kwenda naanza kumpenda kwel kwel, mpaka nafikia hatua nahisi kama amefanya sayansi fran ili kuniteka hakiri yangu, najikuta namfikilia yeye tu muda wote.
Juzi nimemtokea nmemuelezea hisia zangu kwake akawa kama hanielewi, nkikausha nisipomtafta yeye ndo wa Kwanza kunitafta kila siku.
Naombeni ushauri, nikate tamaa kutongoza ama niendelee kupambana mpaka nimpate ama ndo hanipendi ananichezea hakili tu?
acha utoto, pesa nyingi sana ni kiasi gani. Huna hata akaunti benki nyau weNliingia bank flan hapa Mwanza nlienda ku-withdraw pesa nyingi sana kwenye account yangu, Teller baada ya kuona kiwango cha pesa nnachotaka kutoa na umri wangu alishangāaa sana then akaanza maswali ya kizushi ā mara una miaka mingap mara unaishi wapi umeoa? unafanya biashara gani, majibu yote nliyomjibu nlimdanganya.
Alifanya kazi yake iliyompeleka Bank then mwisho akanipa namba yake bira kumuomba then akasema āmake sure unanicheck online plzā nkakubari then nkachukua mzigo nikaondoka, Baada ya siku 5 nikamcheck alifrahi sana.
Aliniomba tuwe marafiki tuwe tunatoka ote kwenda viwanja kunywa na kula BBQ,kila kitu kilienda vizuri, kadri siku zilivozidi kwenda yule mdada alikua akionyesha kunipenda sana japo mim nlkua sijionyeshi kuwa nina pesa lakn yeye alkua anakuja mzima mzima, tukitoka analipia bills zote na usafiri,.
Dhumuni la uzi huu ni kwamba kadri sku zinavozidi kwenda naanza kumpenda kwel kwel, mpaka nafikia hatua nahisi kama amefanya sayansi fran ili kuniteka hakiri yangu, najikuta namfikilia yeye tu muda wote.
Juzi nimemtokea nmemuelezea hisia zangu kwake akawa kama hanielewi, nkikausha nisipomtafta yeye ndo wa Kwanza kunitafta kila siku.
Naombeni ushauri, nikate tamaa kutongoza ama niendelee kupambana mpaka nimpate ama ndo hanipendi ananichezea hakili tu?
Floyd Mayweather je?mtu mwenye pesa hawezi andika 'bira' au 'hakiri'..... huu ni uongo mtupu!!
Imefuatwa Pochi hapoNliingia bank flan hapa Mwanza nlienda ku-withdraw pesa nyingi sana kwenye account yangu, Teller baada ya kuona kiwango cha pesa nnachotaka kutoa na umri wangu alishangāaa sana then akaanza maswali ya kizushi ā mara una miaka mingap mara unaishi wapi umeoa? unafanya biashara gani, majibu yote nliyomjibu nlimdanganya.
Alifanya kazi yake iliyompeleka Bank then mwisho akanipa namba yake bira kumuomba then akasema āmake sure unanicheck online plzā nkakubari then nkachukua mzigo nikaondoka, Baada ya siku 5 nikamcheck alifrahi sana.
Aliniomba tuwe marafiki tuwe tunatoka ote kwenda viwanja kunywa na kula BBQ,kila kitu kilienda vizuri, kadri siku zilivozidi kwenda yule mdada alikua akionyesha kunipenda sana japo mim nlkua sijionyeshi kuwa nina pesa lakn yeye alkua anakuja mzima mzima, tukitoka analipia bills zote na usafiri,.
Dhumuni la uzi huu ni kwamba kadri sku zinavozidi kwenda naanza kumpenda kwel kwel, mpaka nafikia hatua nahisi kama amefanya sayansi fran ili kuniteka hakiri yangu, najikuta namfikilia yeye tu muda wote.
Juzi nimemtokea nmemuelezea hisia zangu kwake akawa kama hanielewi, nkikausha nisipomtafta yeye ndo wa Kwanza kunitafta kila siku.
Naombeni ushauri, nikate tamaa kutongoza ama niendelee kupambana mpaka nimpate ama ndo hanipendi ananichezea hakili tu?