Simuelewi anataka nini

Simuelewi anataka nini

Hope mko salama,

Niko na mahusiano na mwanamke kwa miezi 5 sasa, mwanzoni tulikua tupo vizuri tuu calling , chatting, sex etc.

Sasa mwezi huu mwanzoni akanza kufanya vitimbwi, visa vya ajabu ajabu, mara unaongea naye kwenye simu kidogo anakwambia ana usingizi, message hajibu kwa wakati, sometimes anaweza kuona missed call asikutafute kabisa, na status anapost na yuko online.

Ukimuuliza nini shida, anasema hakuna shida! Yaani akawa kama yupo tuu, alikua ananiita bby, mara akaanza kuniita ndugu yangu, mara boss etc.

Sasa nikaamua kufanya maamuzi ya ku move on, maana niliona kabisa hakuna tena mapenzi, nikaamua kukaa kimya kabisa nikawa simtafuti tena, wala kumpigia tena simu.

Akaanza kunitumia message mbona kimya tatizo ni nini, nikawa sijibu, akipiga sipokei.

Sasa kilichonileta hapa ni hiki, kila siku lazima anitumie ujumbe wa usiku mwema my love, na asubuhi hivyo hivyo, ana siku karibu tisa anafanya hivyo na sijawahi mjibu hata siku moja na hachoki.

Kuna upendo hapa wadau?
Endelea ku move on huyu atakuja akupige tukio kubwa hutasahau, hamna mwanamke hapo.
 
Mapenzi bhana, hayapishani na Siasa. Ninachokiona unatumika kama 'kibanda umiza' ilhali hata nyumbani kuna TV (tena smart tv). Braza, hawa viumbe tena wa kisasa ndo wanafanya tuwatumie kulingana na wao wanavyotaka. Wanawake watanisamehe, ila ikiwezekana mtumie kama gari la kukodi.
 
Hope mko salama,

Niko na mahusiano na mwanamke kwa miezi 5 sasa, mwanzoni tulikua tupo vizuri tuu calling , chatting, sex etc.

Sasa mwezi huu mwanzoni akanza kufanya vitimbwi, visa vya ajabu ajabu, mara unaongea naye kwenye simu kidogo anakwambia ana usingizi, message hajibu kwa wakati, sometimes anaweza kuona missed call asikutafute kabisa, na status anapost na yuko online.

Ukimuuliza nini shida, anasema hakuna shida! Yaani akawa kama yupo tuu, alikua ananiita bby, mara akaanza kuniita ndugu yangu, mara boss etc.

Sasa nikaamua kufanya maamuzi ya ku move on, maana niliona kabisa hakuna tena mapenzi, nikaamua kukaa kimya kabisa nikawa simtafuti tena, wala kumpigia tena simu.

Akaanza kunitumia message mbona kimya tatizo ni nini, nikawa sijibu, akipiga sipokei.

Sasa kilichonileta hapa ni hiki, kila siku lazima anitumie ujumbe wa usiku mwema my love, na asubuhi hivyo hivyo, ana siku karibu tisa anafanya hivyo na sijawahi mjibu hata siku moja na hachoki.

Kuna upendo hapa wadau?
Amepata kikoba kipya mfuko umetuna usipoteze muda bonde ni pana inua macho yako, yeye akichagua kwenda kusini wewe nenda far North utanishukuru
 
Okay ngoja nikusaidie. Mfano kuna mtu kaja kakuomba kisu akakatie matunda ale. Halafu ile umempatia tu ghafla paaaaaah anaanza kukushambulia nacho kwa kukukata bila huruma.

Ila kwasababu upo vema kwenye maswala ya judo unafanikiwa kumdhibiti na kumnyang'anya hicho kisu. Je, swali linakuja.

Muda huo huo huku ukiwa unatokwa na madamu kwa majeraha aliyokutia na hicho kisu, akikuwekea tena sura ya huruma na kuomba umpatie tena kile kisu chako je utampa, au utajiuliza anataka nini?!

(Kuna somo linaitwa logic nadhani linatakiwa kurejeshwa shuleni na vyuoni kwa sasa kuwasadia vijana hasa wa kiume kutafakari kwa hekima na kuwa na logical reasoning badala ya kuwa na emotional thinking kwenye eneo la kusolve matatizo).
 
Move on brother, kipindi anakuletea nyodo ni alikua na mtu anamzuzua, hasa hawa vijana wanyonya nyuchi, achana nae huyo malaya brother
 
Back
Top Bottom